kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,111
ni hatari sana mkuu.Dah inasononesha
Yalaaaaahreste en paix frères
Nimepata taarifa toka kwa mmoja wa wanafunzi wale waliotimuliwa na kuitwa ****** kuwa kuna marafiki zake wawili wamefariki dunia kutokana na mawazo ya kutokana na kukata tamaa na kutojua hatma yao. Wanafunzi hao wote walikuwa wanachukua special diploma course ya ualimu.