Tetesi: Wawili wafa kutokana na msongo wa mawazo, baada ya kutimuliwa UDOM

Tetesi: Wawili wafa kutokana na msongo wa mawazo, baada ya kutimuliwa UDOM

POLENI wafiwa.Vijana mnaopitia kipindi kigumu msife moyo,kwani maisha yanaendelea.Kuna msemo unasema hivi,UKIONA KWAKO KUNAFUKA MOSHI,KWA MWENZAKO KUMETEKETEA KWA MOTO.Yaani mmepoteza masomo tu,kuna waliopoteza kazi.Ziko njia njia nyingi za kufanikiwa.Historia ipo.
 
Tujitahidi kuwapa moyo wenzetu hasa wale walio na options 1 tu ya maisha "kusoma ndio kutoboa" kuna njia zingine za kufikia malengo
Maneno yako mazito mkuu! Umenitoa machozi ila naamini sijachelewa!
 
Kuna utafiti ulifanyika na kuonyesha kuwa Watanzania wanaongoza kwa msongo wa mawazo.

RIP wadogo zangu
 
Yaani msongo wa mawazo ulifika mwisho wa kufikiri
 
jamaa wa Right side ni Classmate wangu ST.MAURUS CHEMCHEMI na nilikwenda Kuiona Maiti yake MOTUARY kabla hata hawajamtransfer kwenda Makazi ya Milele... its so sad mazee Though jamaa alikuwa KICHWA sana Tukiwa School ila Mola alijua hatma Yake RIP masumbuko Mabula
 
Ila pia tukae tukijua ktk idadi lukuki ya watu takriban elf saba, kifo ni kitu cha kawaida sana. Kwenye kijiji hufa wangapi kwa mwezi bila kuangalia sababu za vifo?
Nimepata taarifa toka kwa mmoja wa wanafunzi wale waliotimuliwa na kuitwa ****** kuwa kuna marafiki zake wawili wamefariki dunia kutokana na mawazo ya kutokana na kukata tamaa na kutojua hatma yao. Wanafunzi hao wote walikuwa wanachukua special diploma course ya ualimu.
14ebf256fd9b714a896ca1a1b1a7d86a.jpg
 
Inabidi wanasayansi wa Dunia hii wahamie TanZania kufanya utafiti, kumbe mtu unaweza kufa kwa msongo wa mawazo kwenye nchi ambayo ni kawaida kwa kijana au mtoto ufa kwa Malaria, homa, kipundu pindu, ajali, sumu, kuangukiwa na ukuta, kisukari n.k
Hopeless kabisa. Kuliko kukosa busara kama wewe ni bora mtu asizaliwe.
 
Daktari gani aliyethibitisha kuwa kifo chao kimesababishwa na msongo wa mawazo uliosababishwa na kuondolewa kwao UDOM ? Yote kwa yote R.I.P.
 
Back
Top Bottom