Tetesi: Wawili wafa kutokana na msongo wa mawazo, baada ya kutimuliwa UDOM

Tetesi: Wawili wafa kutokana na msongo wa mawazo, baada ya kutimuliwa UDOM

Taarifa ya daktari? otherwise una lako jambo.taarifa na sababu za vifo hazina tetesi.
Uwe makini na utoaji taarifa za sababu za vifo vya watu.
 
Daktari gani aliyethibitisha kuwa kifo chao kimesababishwa na msongo wa mawazo uliosababishwa na kuondolewa kwao UDOM ? Yote kwa yote R.I.P.

Taarifa ya daktari? otherwise una lako jambo.taarifa na sababu za vifo hazina tetesi.
Uwe makini na utoaji taarifa za sababu za vifo vya watu.
Hata kingesemwa kitu kingine comment hizi zisingekosekana!!
 
Kuna dogo kijijini kwetu karudishwa kawa kama kichaa mara aseme saizi angekua form six mara aseme mwakani angeajirwa nyumbani kwetu kuna kisima kirefu nikawaambia huyu dogo wamchunge asiwe anasogelea hichi kisima
 
Dah...RIP...... Ila hawa ndiyo walitegemewa kuja kuwa walimu wa watoto wetu kweli??
 
Back
Top Bottom