balibabambonahi JF-Expert Member Joined Apr 5, 2015 Posts 15,771 Reaction score 14,294 Jul 6, 2016 #42 Wakome kuishabikia CCM
Mtoto Wabibi JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 451 Reaction score 294 Jul 6, 2016 #43 Taarifa ya daktari? otherwise una lako jambo.taarifa na sababu za vifo hazina tetesi. Uwe makini na utoaji taarifa za sababu za vifo vya watu.
Taarifa ya daktari? otherwise una lako jambo.taarifa na sababu za vifo hazina tetesi. Uwe makini na utoaji taarifa za sababu za vifo vya watu.
chichariton JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 238 Reaction score 260 Jul 6, 2016 #44 rip bros
Freyzem JF-Expert Member Joined Jun 29, 2013 Posts 10,120 Reaction score 24,667 Jul 6, 2016 #45 mkupuo said: Daktari gani aliyethibitisha kuwa kifo chao kimesababishwa na msongo wa mawazo uliosababishwa na kuondolewa kwao UDOM ? Yote kwa yote R.I.P. Click to expand... Mtoto Wabibi said: Taarifa ya daktari? otherwise una lako jambo.taarifa na sababu za vifo hazina tetesi. Uwe makini na utoaji taarifa za sababu za vifo vya watu. Click to expand... Hata kingesemwa kitu kingine comment hizi zisingekosekana!!
mkupuo said: Daktari gani aliyethibitisha kuwa kifo chao kimesababishwa na msongo wa mawazo uliosababishwa na kuondolewa kwao UDOM ? Yote kwa yote R.I.P. Click to expand... Mtoto Wabibi said: Taarifa ya daktari? otherwise una lako jambo.taarifa na sababu za vifo hazina tetesi. Uwe makini na utoaji taarifa za sababu za vifo vya watu. Click to expand... Hata kingesemwa kitu kingine comment hizi zisingekosekana!!
L lokomu JF-Expert Member Joined Apr 25, 2013 Posts 4,916 Reaction score 3,507 Jul 6, 2016 #46 mwenyez mungu awapumzishe panapostahili
A AHA Senior Member Joined Mar 18, 2015 Posts 103 Reaction score 84 Jul 6, 2016 #47 Kuna dogo kijijini kwetu karudishwa kawa kama kichaa mara aseme saizi angekua form six mara aseme mwakani angeajirwa nyumbani kwetu kuna kisima kirefu nikawaambia huyu dogo wamchunge asiwe anasogelea hichi kisima
Kuna dogo kijijini kwetu karudishwa kawa kama kichaa mara aseme saizi angekua form six mara aseme mwakani angeajirwa nyumbani kwetu kuna kisima kirefu nikawaambia huyu dogo wamchunge asiwe anasogelea hichi kisima
Rohombaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 13,067 Reaction score 10,393 Jul 6, 2016 #48 Dah...RIP...... Ila hawa ndiyo walitegemewa kuja kuwa walimu wa watoto wetu kweli??