Wawili wauawa Dodoma kwa Wivu wa Mapenzi

Wawili wauawa Dodoma kwa Wivu wa Mapenzi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma, ACP Martini Otieno, amethibitisha kutokea kwa vifo vya Dominick Kagula aliyekuwa dereva bodaboda na Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Esta baada ya kudaiwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali.

Vifo hivyo vinadaiwa kutokea mtaa wa Msangalale, Kata ya Dodoma Makulu huku wivu wa mapenzi ukitajwa kuwa chanzo ingawa haikuthibitishwa mara moja iwapo watu hao walikuwa wapenzi au laa

Jeshi la Polisi linaendeleza jitihada za kumtafuta mhusika wa mauaji hayo

Chanzo: EATV
 
Dunia inaenda Kasi Sana kwa kweli.Dah! Mhusika achukuliwe hatua za kisheria haraka iwezekanavyo.
 
Kwani huwezi piga chini na ukaendelea na maisha yako
Kuliko kwenda ozea jelaaa

Ova
Unadhani ni rahisi hivyo Mkuu, fikiria una mke na mna watoto na mmechuma pamoja. Hivi unajua watoto wewe, wao ni BABA na MAMA wawaone mpo nyumba moja. Kukosana kwenu hawana taarifa nako. Changanya na mawazo ya wewe kuanza upya. Je, unaoa Single mother (unalianzisha kutoka kwa mke usisahau na mtoto wake); unaoa mgumba (hiyo afadhali maana shida ipo kati ya watoto wako na mke si watoto kwa watoto pia mtoto wake na wewe); unaoa dogo dogo (akifika atahakikisha unamjengea nyumba yake na muachane na hiyo ya mtalaka)..... ni mengi kiasi hasira zinapanda mpaka mnagawana majengo ya serikali.

Mkuu nikupe mfano, juzi nilikuwa natakiwa fedha kadhaa ya kimradi mbuzi kangu, nikaanza process za kuchukua mkopo Benki bila kumweleza mke wangu. Baadaye wakati tunaongea, nikamweleza kuwa nasubiri kibali nikope hiyo ngawira. Mama akaona si sawa akasema ataitoa yeye kutoka akiba yake. Hebu nieleze, kesho nikute jamaa ndiye anaitafuna K yake, tatizo si kuwa na uchungu na K kutifuliwa bali business partner wako jamaa amemchukua. Maana unafahamu mwanamke akimpa mtu K anammiliki jumla na wewe anakudharau. Ni mengi mno ndugu yangu
 
Baada ya UKIMWI.., Kinacho fuata kwa kuuwa ni USALITI....

chukua tahadhari.....kama upo kwenye mahusiano na unaendekeza USALITI basi jua kuwa siku zako zinahesabika.
 
Inasemekana huyo mwanamke alimleta hawara (dereva bodaboda) ndani ya nyumba wakati mmewe akiwa hayupo.

Badae mmewe kurudi ndio akawafumania na hatimaye kuwashambulia wote wawili...mkewe na huyo jamaa wa boda kwa panga/kisu hadi kupoteza uhai wao.
Tetesi ni iko hivi Esther ambaye ni marehemu alishakua na mahusiano na kijana alietekeleza mauaji, Jamaa alipigwa chini (Kibuti,kumwagwa) lakini hataki achika.
Na siku ya tukio Easther alitoka kwao mkoani na kuja Dodoma kwa Intavyuu za sensa nakufikia kwa mpenzi wake mpya Dereva boda ambaye wote wawili waliuawa na mpenzi wa Esther wa zamani ambaye hakukubali matokeo ya kuachwa. Walale salama asee

Vijana wengi wanamatatizo ya akili asee jamaa kafanya mauaji ya kijinga na kikatili sana.
 
Tetesi ni iko hivi Esther ambaye ni marehemu alishakua na mahusiano na kijana alietekeleza mauaji, Jamaa alipigwa chini (Kibuti,kumwagwa) lakini hataki achika.
Na siku ya tukio Easther alitoka kwao mkoani na kuja Dodoma kwa Intavyuu za sensa nakufikia kwa mpenzi wake mpya Dereva boda ambaye wote wawili waliuawa na mpenzi wa Esther wa zamani ambaye hakukubali matokeo ya kuachwa. Walale salama asee

Vijana wengi wanamatatizo ya akili asee jamaa kafanya mauaji ya kijinga na kikatili sana.
AFYA YA AKILI NI MUHIMU SANA KUPIMWA AISEE
 
Kibosile mmoja wa Tanroads Kanda ya ziwa alikuaga anasema kama wewe,siku wahuni wamemwagia mkewe protein nzito nyeupeee jamaa alikua analia Hadi kamasi.

Ile siku ndio nilijua kumbe Yale maneno yake yalikua ni kama ya motivational speaker.
Inategemea ntu na ntu
Mimi mpka malaya nishanunua sana ..kutombewa kawaida sana

Napiga chini natafuta mwengine

Nikisema sina wivu najua huwezi amini
 
Inategemea ntu na ntu
Mimi mpka malaya nishanunua sana ..kutombewa kawaida sana

Napiga chini natafuta mwengine

Nikisema sina wivu najua huwezi amini
😄😄 huyo ninaekwambia Ni muhuni aliyekubuhu na pesa anayo ya maana,hakuna uchafu hajafanya lkn yalipomkuta jasho lilimtoka.
 
Kibosile mmoja wa Tanroads Kanda ya ziwa alikuaga anasema kama wewe,siku wahuni wamemwagia mkewe protein nzito nyeupeee jamaa alikua analia Hadi kamasi.

Ile siku ndio nilijua kumbe Yale maneno yake yalikua ni kama ya motivational speaker.
Inategemea ntu na ntu
Mimi mpka malaya nishanunua sana ..kutombewa kawaida sana

Napiga chini natafuta mwengine

Nikisema sina wivu najua huwezi amini
 
We omba tu yasikukute.
Kila mwanamke na utamu wake na wanazidiana.
usione mtu kaganda sehemu moja kumbe kapewa vitu vizito Sasa akija kuona kuna mtu anapewa hivyo vitu badala ya yeye lazma aumie
Bado kwa upande wangu mimi siwezi kusumbuka kisa ****
 
Back
Top Bottom