Wawili wauawa Dodoma kwa Wivu wa Mapenzi

Wawili wauawa Dodoma kwa Wivu wa Mapenzi

Bado siwez chukua huo uamuzi
Subiri siku ukifika mtoni ndiyo utajua utavuka vp,Sasa hivi utatambaa tu! Kipimo kizuri Cha akili yako,ni pale unapovurugwa na mwenza wako,hapo ndiyo utaijua vizuri Serekali ya kichwa chako inafanyaje kazi! Ni swala la muda tu!!
 
Subiri siku ukifika mtoni ndiyo utajua utavuka vp,Sasa hivi utatambaa tu! Kipimo kizuri Cha akili yako,ni pale unapovurugwa na mwenza wako,hapo ndiyo utaijua vizuri Serekali ya kichwa chako inafanyaje kazi! Ni swala la muda tu!!
Mkuu mimi nishafumania sana ila kinachoniogopesha hata siumii

Najihisi nina tatizo
 
[emoji1][emoji1] huyo ninaekwambia Ni muhuni aliyekubuhu na pesa anayo ya maana,hakuna uchafu hajafanya lkn yalipomkuta jasho lilimtoka.
Kuna sehemu ukipenda kweli wivu unaongezeka Mara mbili!!
 
Back
Top Bottom