mmakondehuru
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 385
- 149
Wiki mbili nying Mkuu,ipe cku 3 tuHii ngoma naipa wiki 2 hutaisikia tena
Kuna team zimejipanga madhubuti kumshusha Joe. But I tell you.. They'll fail..Mbona ngoma kali wazee mnataka nn ariph, au mnataka mipasho kama ya sinaga swaga?
Kwelii kwelii sema watashindwa kwa jina ya lengaiiKuna team zimejipanga madhubuti kumshusha Joe. But I tell you.. They'll fail..
LudigoHawamjui Joh Makini,jamaa amewahi toa hit na maproducer tofauti
Pancho Latino
Dunga-Mandugu Digital
PFunk Majani
Chizan Brain
Kumbe umegundua ee, watu wengi mi wafuata mkumbo hawawezi kujaji kwa utashi wao, si ajabu hata hao wanaoponda hawajausikia wimboJF kuna tabia moja yani wachangiaji wakwanza wakianza kuponda basi ni kuponda mwanzo mwisho
Haha hii ngoma kali manzee, jinsi navyoendelea kuisikiliza ndivyo naendelea kuielewa, haters waache waendelee kubana pumbu ila mchizi ndo hivyo kashavuta waya. Beat lake sasa daah hatari!!!Ngoma imetulia hii
Na ka video kametulia hivi. WayaaaaaaaNgoma imetulia hii
Kweli huu waya umewakuna wengi, mwamba eeeh wakazie haooBaada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya
Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani labda aendelee kubebwa!
Namshauri ajitafakari na akajipange upya huenda kweli anabebwa!
=============================================
Baada ya kutuhumiwa kwamba anabebwa, sasa kakurupuka na kutuletea ngoma mbovu inayokwenda kwa jina la waya
Kiukweli hii ngoma haitakua na maisha marefu katika game hii yenye ushindani mkubwa yaani labda aendelee kubebwa!
Namshauri ajitafakari na akajipange upya huenda kweli anabebwa!
=============================================
Mimi hiphop ya ckuiz c ielewi kabisa yani cjui wanaimba hiphop gani mm kiukweli nashindwa ielewa..
Ivi hiphop ku determine kama hii ngoma ni hiphop ni mdundo wa iyo nyimbo au mashairi ya yaliyo ndani na jinsi ya uyo msanii anavyo imba kufoka au vp mana hata rege huwa wanafoka even mziki wa dansi??mana joh makin mm naona kama anaimba bongofreva michano na c hiphop.
hiphop walioimba miaka ya 90s kwa wasanii wa bongo kama sugu,wale washikaji wa chuga wale nishawasahau mda mrefu sana tofauti kwa mfano pia ukiangalia hata kwa wasanii wa marekani wa hiphop kipindi cha nyuma kama wakina Ice cube,easy E,dr dre,common,erick b,nought by nature,public enemy wale wakina careless one,2pac,b.i.g natorious ,snoop walikuwa wanafanya hiphop kweli yani hata nyimbo ukiangalia ukisikiliza ni ya kihophop kweli.
ila awa wa kina johmakini cjui ney wa mitego nikiwapili g walawala ivi wanaimba hiphop au ni style gani ya mziki wanayofanya nashindwa waelewa kwakweli mtu anapiga piga makelele tuu kiukweli kwa bongo mm watu wanaimba hiphop naona wakuhesabika kama sana yani ckuiz coni radha ya hiphop ya miaka ile ya 90s dah nimemiss sana ile hiphop...