Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

Waya: Ngoma mpya ya Joh Makini mbaya kuliko zote toka kwake

Kweli alafu Hawa wataalamu wa JF wasanii wao wanaowasifia ukienda kwenye matamasha yao utawaonea huruma hakuna watu hao wakina songa, niki mbishi na wengine.
Hawa wakina job making wanaopiga kelele humu wanabebwa ndo wanaoamsha na shangwe na kuzaja nyomi kwenye matamasha
kabisa mkuu hawa ni wa kupuuza
 
kipimo hicho hicho ulichokitumia wewe kujua huo wimbo ni mkali mimi kimenipa majibu kuwa ni mbaya
Mimi kipimo changu no hiki tangu wimbo umetoka unashika namba 1 kwenye trend
IMG_20170127_095720.JPG

Lete na wewe kipimo chako ?
 
Habarini Wadau,

Kwanza niweke wazi kuwa sina chuki na mwimbaji yeyote wa HipHop hapa Bongo

Pia nimekuwa nikipenda kufuatilia sana pini zote za JOH, kuanzia tracks kama chochote popote, Ufalme, stimu zimelipiwa na hata mchano wake katika Gere n.k

ILA HII WAYA ni hakuna kitu kabisa na itamshusha sana. Sababu ni:-


◆ Kwanza hajachana ni Ameimba na Hawezi kuimba.

◆ Producer aliyetengeneza hii ngoma sijui alikuwa anasinzia kwa kula unga?

◆ Hakuna Uhusiano wa neno "WAYA" na alichoimba...mfano:- "Excuse me miss/girl can I gonna hv yo # "...something like those shits n blah blah..

◆ Kiingereza kilichotumika ni kibovu sana.

Ikiwa kuna uwezekano wa kucorrect errors za huu wimbo Joh Makini arekebishe kabla hajachekwa zaidi.


NAWASILISHA.
Anaomba namba ya dem then akijipanga atamvutia waya.
 
Hivi ulitaka wimbo anaotoa Joh Makin upokelewe vipi huko youtube? wengi wanautazama kwa kuwa tu ametoa Joh Makin ila hapo hakuna jipya... hicho sio kipimo sahihi
We we hivi unadhani wapenzi wa muziki wote wanafiki kama wewe?
Unadhani zimetoka nyimbo ngapi mpya? Huo unaodhani wewe mbovu ukashika namba 1?
Nimekwambia Pete vigezo vyako unapiga porojo tu bila ushahidi.
Wimbo ukitoka kipimo chake in kuangalia mapokeo yake
 
Haters ndio wanafanya huu wimbo ubambe, wamejazana You Tube wapate cha kukosoa
Wanavyozidi kusema ni mbaya, ndivyo watu wanavyomiminika youtube kwenda kuangalia lisemwalo lipo,
 
Kama King wa hip~hop kibongo Fid Q kaikubali hii ngoma basi mimi sina sababu tena ya kuitilia shaka!!
 
..
Mkuu...isije ikawa wewe umeyaandika hayo kishabiki,

I'm a big fan of JOH na sio hater....na zaidi sio namdis yeye....naudis huu wimbo na aliyeproduce.

Ni kweli kuna mahali amechana pia ila:-

Wewe kama unajua ngoma za Joh Makini, hii unaikubali haswaa kwa 100% ?

Hebu tuambie association ya neno "Waya" na aliyoimba na kuchana.

A. Okay, ndani ya waya, Joh anamtokea manzi na anamuomba namba zake za simu kisha anamwambia akivuta waya 'akipiga simu' basi demu ajue msela keshajipanga.
Sasa katika utongozaji wake kuna sehemu:
1. Jamaa anajisifia jinsi ambavyo amehustle na sasa kafanikiwa na anakimbiza wapinzani.
2.Anamsifia dem na kumpromise good time. Anamwambia aachane na mastory mingi za mobs.
So, mtongozo mzima ni mixer ya mahaba na boasting.

But, yote haya yanatokea katika ile moment ya kuomba namba ili baadaye Joh amvutie huyo dem nini? WAYA. So, yuko sahihi kuita huo wimbo waya.

B.kuhusu rating.. Mi hii ngoma nairate 4/5. Na producer katisha haswaaa.
 
..
Ww tattizo lako hitaki ukweli acha ukweli usemwe mbona wati wasidis kamosabe ya fid q wadiss tu huo waya
Boss, sikatazi mtu kudiss wimbo. Nachosema ni kwamba unapodiss ngoma ya mtu njoo na real critical points zilizo clear. Mf. Sema 'verse 1 katoka nje ya beat' au verse one anaimba matusi tu kama vile A, B na C'. Sio mtu anasema tu huu wimbo mbaya bila kutoa sababu na ushahidi wa sababu hizo.
 
Back
Top Bottom