Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
World citizen good morning,

Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua misimamo ya kiimani kwa wayahudi naona inabidi nitoe muongozo mapema kabda hatujawakera wageni wetu, heavy weight in world politics.

Mosi: Kutowapa Merry Christmas

Kwa namna yote ile awe ni mhudumu, kiongozi, mpita njia au chochote kinachoongea kifanyiwe udhibiti kisitamke tamko hilo Merry Christmas kwa wageni wetu kwani wageni wetu wana story very complicated na mhusika mkuu wa sherehe hii ya Christmas sasa ni jambo la mbolea kutokuwakata steam ingali ndo mara ya kwanza tu wamekuja Tanzania. Tukifanya vizuri this time basi wayahudi wataongezeka mara dufu kila Christmas.

Mbili: Kuwapa mafunzo ya dini

Kuna manabii zetu hawa nadhani wasirusiwe kuwasogelea kabisa hawa wageni wetu maana hawakawii kuanza kuhubiri na kutaka kufanya miujiza, au kutoa mafunzo ya dini. Tutadharaulika sana wakirudi kwao na kuwaelezea wenzao jinsi gani tumelewa na hadithi za gentile na kuziamini kwa nguvu zote.

Tatu: Kuwashauri juu ya Palestina

Wakae mbali sana na hii maada maana ni nzito sana sio mtu emetizama taarifa mbili tatu za kuhusu mzozo huo unajitia unaweza kuwa na solutions, wakati maji tu kwenye nchi yako hamna solutions.

Hata hivyo napenda kujazia ya kwamba nguvu, sifa na weledi kedekede wanaopewa wageni hawa sio kwa sababu ni wateule wa Mungu apana bali ni kutokana na kukutana na vikwazo vingi sana hapa duniani ambapo naweza sema hamna jamii nyingine imepitia, kutokana na vikwazo hivyo vya kiuchumi, kiutamaduni, wana hawa wamekuwa wakipikwa kwenye tanuri kama mwamba wa dhahabu sasa wanapochiririka kama dhahabu pure wanadamu tuliowapa vikwazo twabaki tunashangaa uweledi wao.

Pia serikali ikae makini sana, maana tunaweza amka siku tukashangaa Mlima Kilimanjaro haupo.
 
World citizen good morning,

Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua misimamo ya kiimani kwa wayahudi naona inabidi nitoe muongozo mapema kabda hatujawakera wageni wetu, heavy weight in world politics.

Mosi: Kutowapa Merry Christmas

Kwa namna yote ile awe ni mhudumu, kiongozi, mpita njia au chochote kinachoongea kifanyiwe udhibiti kisitamke tamko hilo Merry Christmas kwa wageni wetu kwani wageni wetu wana story very complicated na mhusika mkuu wa sherehe hii ya Christmas sasa ni jambo la mbolea kutokuwakata steam ingali ndo mara ya kwanza tu wamekuja Tanzania. Tukifanya vizuri this time basi wayahudi wataongezeka mara dufu kila Christmas.

Mbili: Kuwapa mafunzo ya dini

Kuna manabii zetu hawa nadhani wasirusiwe kuwasogelea kabisa hawa wageni wetu maana hawakawii kuanza kuhubiri na kutaka kufanya miujiza, au kutoa mafunzo ya dini. Tutadharaulika sana wakirudi kwao na kuwaelezea wenzao jinsi gani tumelewa na hadithi za gentile na kuziamini kwa nguvu zote.

Tatu: Kuwashauri juu ya Palestina

Wakae mbali sana na hii maada maana ni nzito sana sio mtu emetizama taarifa mbili tatu za kuhusu mzozo huo unajitia unaweza kuwa na solutions, wakati maji tu kwenye nchi yako hamna solutions.

Hata hivyo napenda kujazia ya kwamba nguvu, sifa na weledi kedekede wanaopewa wageni hawa sio kwa sababu ni wateule wa Mungu apana bali ni kutokana na kukutana na vikwazo vingi sana hapa duniani ambapo naweza sema hamna jamii nyingine imepitia, kutokana na vikwazo hivyo vya kiuchumi, kiutamaduni, wana hawa wamekuwa wakipikwa kwenye tanuri kama mwamba wa dhahabu sasa wanapochiririka kama dhahabu pure wanadamu tuliowapa vikwazo twabaki tunashangaa uweledi wao.

Pia serikali ikae makini sana, maana tunaweza amka siku tukashangaa Mlima Kilimanjaro haupo.

Acha kulewa

Wamekuja,udhibitisho upo wapi?

Hakuna picha,video au hata official takwimu!

Hakuna

Shut your butt chicks!
 
Waisrael wako million 8 waislam wanaoizunguka Israel wako zaidi ya million 300 lakini wameshindwa kukafuta hako kainchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Actually sio swala la dini,ni suala la ardhi,Kuna raia wait Israel waislamu wengi tu,Kuna makamanda jeshi la Israel ni waislamu pia,
Israel Ina uhusiano wa karibu na nchi za kiarabu kasoro Syria,Iraq,Iran,Lebanon kwa nchi za jirani.
Nchi Kama Saud,Oman,qatar,misri,Jordan,Bahrain etc wanaushirikiano na Israel hata Kama hauko rasmi.
Misri,Jordan wanna mkataba wa
 
Israel sio nchi ya kikristo na wala hawasherekei sikukuu ya Christmas. Kesho kwao ni siku ya kawaida tu watu wanaenda kazini, watoto wanaenda shule Kama kawa. Ila kuna baadhi ya maeneo ambayo ina idadi kubwa ya waarabu. Huko ndo unaweza kukuta sherehe za Christmas kwasababu baadhi ya waarabu ni wakristo japo wachache sana. Kiufupi ISRAEL HAKUNA KERO YA CHRISTMAS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wanaitambua Christmass haiondoi ukweli kuwa Yesu Kristo Mfalme alizaliwa waka mua siku ya tatu akafufuka haleluya
 
Back
Top Bottom