Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe msubiria bikira 72 huna akili kama wenzio tu.Wewe myahudi wa Nzega uwe unasoma comment na kuzielewa kuliko kugeuka na kua kituko humu.
Fuata ushauri niliokupa,kuandika matapishi yako humu hakutokusaidia lolote.
Hao waislam wa kiizrael wako kikazi mkuu sio kama wewe unabadili dini hata huelewi kwann unabadili...hao waliomo kwenye uislamu ndo wanaofanya kazingumu ili kuhakikisha uislam hauisumbui sumbui izraelActually sio swala la dini,ni suala la ardhi,Kuna raia wait Israel waislamu wengi tu,Kuna makamanda jeshi la Israel ni waislamu pia,
Israel Ina uhusiano wa karibu na nchi za kiarabu kasoro Syria,Iraq,Iran,Lebanon kwa nchi za jirani.
Nchi Kama Saud,Oman,qatar,misri,Jordan,Bahrain etc wanaushirikiano na Israel hata Kama hauko rasmi.
Misri,Jordan wanna mkataba wa
hahahahaha moja ya watu walioathirika sana na historia ya dunia hii ni sisi WaAfrica.. Baya zaidi hatujipi hata muda wa kusoma na kuielewa dunia mwisho wa siku tunazidisha athari kwa vizazi na vizazi...
Hujatoa ushauri umeandika uozo tuFuata ushauri niliokupa,kuandika matapishi yako humu hakutokusaidia lolote.
Mkuu haya ni maneno tu n this z JF, karibu bana tusheherekee Christmas pamoja.Fuata ushauri niliokupa,kuandika matapishi yako humu hakutokusaidia lolote.