Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

Mkuu hii ni ngumu sana kwa mkristo wa Tanzania kukuelewa
Israel sio nchi ya kikristo na wala hawasherekei sikukuu ya Christmas. Kesho kwao ni siku ya kawaida tu watu wanaenda kazini, watoto wanaenda shule Kama kawa. Ila kuna baadhi ya maeneo ambayo ina idadi kubwa ya waarabu. Huko ndo unaweza kukuta sherehe za Christmas kwasababu baadhi ya waarabu ni wakristo japo wachache sana. Kiufupi ISRAEL HAKUNA KERO YA CHRISTMAS

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
World citizen good morning,

Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua misimamo ya kiimani kwa wayahudi naona inabidi nitoe muongozo mapema kabda hatujawakera wageni wetu, heavy weight in world politics.

Mosi: Kutowapa Merry Christmas

Kwa namna yote ile awe ni mhudumu, kiongozi, mpita njia au chochote kinachoongea kifanyiwe udhibiti kisitamke tamko hilo Merry Christmas kwa wageni wetu kwani wageni wetu wana story very complicated na mhusika mkuu wa sherehe hii ya Christmas sasa ni jambo la mbolea kutokuwakata steam ingali ndo mara ya kwanza tu wamekuja Tanzania. Tukifanya vizuri this time basi wayahudi wataongezeka mara dufu kila Christmas.

Mbili: Kuwapa mafunzo ya dini

Kuna manabii zetu hawa nadhani wasirusiwe kuwasogelea kabisa hawa wageni wetu maana hawakawii kuanza kuhubiri na kutaka kufanya miujiza, au kutoa mafunzo ya dini. Tutadharaulika sana wakirudi kwao na kuwaelezea wenzao jinsi gani tumelewa na hadithi za gentile na kuziamini kwa nguvu zote.

Tatu: Kuwashauri juu ya Palestina

Wakae mbali sana na hii maada maana ni nzito sana sio mtu emetizama taarifa mbili tatu za kuhusu mzozo huo unajitia unaweza kuwa na solutions, wakati maji tu kwenye nchi yako hamna solutions.

Hata hivyo napenda kujazia ya kwamba nguvu, sifa na weledi kedekede wanaopewa wageni hawa sio kwa sababu ni wateule wa Mungu apana bali ni kutokana na kukutana na vikwazo vingi sana hapa duniani ambapo naweza sema hamna jamii nyingine imepitia, kutokana na vikwazo hivyo vya kiuchumi, kiutamaduni, wana hawa wamekuwa wakipikwa kwenye tanuri kama mwamba wa dhahabu sasa wanapochiririka kama dhahabu pure wanadamu tuliowapa vikwazo twabaki tunashangaa uweledi wao.

Pia serikali ikae makini sana, maana tunaweza amka siku tukashangaa Mlima Kilimanjaro haupo.
We jamaa dish lazima limeyumba
 
Israel sio nchi ya kikristo na wala hawasherekei sikukuu ya Christmas. Kesho kwao ni siku ya kawaida tu watu wanaenda kazini, watoto wanaenda shule Kama kawa. Ila kuna baadhi ya maeneo ambayo ina idadi kubwa ya waarabu. Huko ndo unaweza kukuta sherehe za Christmas kwasababu baadhi ya waarabu ni wakristo japo wachache sana. Kiufupi ISRAEL HAKUNA KERO YA CHRISTMAS

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Christmas ni kero Dada?

Hebu tueleze ni kero kwa vipi?

Wakristo wanapiga madufu mitaani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana sana watafurahishwa na Jinsi nyumbu walivyojaza bendera za Taifa lao majumbani kwao na Huku wakiamini Israel ndio taifa la mungu na mwenye kulibariki nae atabarikiwa Watashangaa sana hao jamaa ila kuhusu manabii hapo kuna ambao watajitoa tu ufahamu wakawalambe miguu hao wanaoitwa watoto wa Mungu na Wazee wa fursa humo humo nao wataanza kupiga minada ya vitu vya waisrael na nyumbu nao watavinunua kwa ghali sana
 
Kwahiyo Christmas in kero Dada?

Hebu tueleze ni kero kwa vipi?

Wakristo wanapiga madufu mitaani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Christmas inawakera koz wao ndio walikuwepo kipindi kile yesu anasulubiwa wanasema walichoona na watu hawataki kuwasikiliza, in short kisa cha yesu kufufuka ndicho kimepelekea wao kuchukiwa sana na mataifa ambayo yana ukristro
 
Back
Top Bottom