Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Israel sio nchi ya kikristo na wala hawasherekei sikukuu ya Christmas. Kesho kwao ni siku ya kawaida tu watu wanaenda kazini, watoto wanaenda shule Kama kawa. Ila kuna baadhi ya maeneo ambayo ina idadi kubwa ya waarabu. Huko ndo unaweza kukuta sherehe za Christmas kwasababu baadhi ya waarabu ni wakristo japo wachache sana. Kiufupi ISRAEL HAKUNA KERO YA CHRISTMAS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba wanaitambua Christmass haiondoi ukweli kuwa Yesu Kristo Mfalme alizaliwa waka mua siku ya tatu akafufuka haleluya
We jamaa dish lazima limeyumbaWorld citizen good morning,
Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua misimamo ya kiimani kwa wayahudi naona inabidi nitoe muongozo mapema kabda hatujawakera wageni wetu, heavy weight in world politics.
Mosi: Kutowapa Merry Christmas
Kwa namna yote ile awe ni mhudumu, kiongozi, mpita njia au chochote kinachoongea kifanyiwe udhibiti kisitamke tamko hilo Merry Christmas kwa wageni wetu kwani wageni wetu wana story very complicated na mhusika mkuu wa sherehe hii ya Christmas sasa ni jambo la mbolea kutokuwakata steam ingali ndo mara ya kwanza tu wamekuja Tanzania. Tukifanya vizuri this time basi wayahudi wataongezeka mara dufu kila Christmas.
Mbili: Kuwapa mafunzo ya dini
Kuna manabii zetu hawa nadhani wasirusiwe kuwasogelea kabisa hawa wageni wetu maana hawakawii kuanza kuhubiri na kutaka kufanya miujiza, au kutoa mafunzo ya dini. Tutadharaulika sana wakirudi kwao na kuwaelezea wenzao jinsi gani tumelewa na hadithi za gentile na kuziamini kwa nguvu zote.
Tatu: Kuwashauri juu ya Palestina
Wakae mbali sana na hii maada maana ni nzito sana sio mtu emetizama taarifa mbili tatu za kuhusu mzozo huo unajitia unaweza kuwa na solutions, wakati maji tu kwenye nchi yako hamna solutions.
Hata hivyo napenda kujazia ya kwamba nguvu, sifa na weledi kedekede wanaopewa wageni hawa sio kwa sababu ni wateule wa Mungu apana bali ni kutokana na kukutana na vikwazo vingi sana hapa duniani ambapo naweza sema hamna jamii nyingine imepitia, kutokana na vikwazo hivyo vya kiuchumi, kiutamaduni, wana hawa wamekuwa wakipikwa kwenye tanuri kama mwamba wa dhahabu sasa wanapochiririka kama dhahabu pure wanadamu tuliowapa vikwazo twabaki tunashangaa uweledi wao.
Pia serikali ikae makini sana, maana tunaweza amka siku tukashangaa Mlima Kilimanjaro haupo.
Wamekuja kuwasabai wenzao huko kilimanjaro,pamoja na kuangalia wanyama mbugani.(chagga the lost israelite tribes)Wamekuja kutalii maeneo yapi?
Mbuga za wanyama, Mlima Kilimanjaro, kuoona nyumba zetu na tamaduni zetu au wako wapi hasa (nikadange)?
Waislam wao wamewafanyaje mpaka sasa?Ushaanza ungese Hitla peke yake alitaka kuwafuta ndo ije waislam milioni 300?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Christmas ni kero Dada?Israel sio nchi ya kikristo na wala hawasherekei sikukuu ya Christmas. Kesho kwao ni siku ya kawaida tu watu wanaenda kazini, watoto wanaenda shule Kama kawa. Ila kuna baadhi ya maeneo ambayo ina idadi kubwa ya waarabu. Huko ndo unaweza kukuta sherehe za Christmas kwasababu baadhi ya waarabu ni wakristo japo wachache sana. Kiufupi ISRAEL HAKUNA KERO YA CHRISTMAS
Sent using Jamii Forums mobile app
AMEN.Kwamba wanaitambua Christmass haiondoi ukweli kuwa Yesu Kristo Mfalme alizaliwa waka mua siku ya tatu akafufuka haleluya
Christmas inawakera koz wao ndio walikuwepo kipindi kile yesu anasulubiwa wanasema walichoona na watu hawataki kuwasikiliza, in short kisa cha yesu kufufuka ndicho kimepelekea wao kuchukiwa sana na mataifa ambayo yana ukristroKwahiyo Christmas in kero Dada?
Hebu tueleze ni kero kwa vipi?
Wakristo wanapiga madufu mitaani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wenyewe watulie tu maana huku Christmas ni sikukuu kubwa kwahio hayo uliyoyasema watayasikia tu,bora wangekaa kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Get lost boy
Go back to mommy
Wewe myahudi wa Nzega uwe unasoma comment na kuzielewa kuliko kugeuka na kua kituko humu.Kwahiyo Christmas ni kero Dada?
Hebu tueleze ni kero kwa vipi?
Wakristo wanapiga madufu mitaani?
Sent using Jamii Forums mobile app