Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Myahudi Anakupiga wewe utawatoa ulikowaweka. Mbona ni rahisi. Umewahi mwibia mtu kitu halafu akawa anakutandika tu we mwenyewe unamwambia nlificha kwenye ...? Ndo alichofanya myahudi kwa kamas.
Utatoa hutoi? Sitoi... Kuuuh.... Utatoa hutoi.... Sitoi... Kuuuh. Utatoa hutoi. Natoa... Haya.... Kaa mkao wa kutoa. Hamas... Haya....
Mimi nilikuwa na bado nawashabikia Hamas. Nlikuwa nasema ni mtego tu Mayahudi wakiingia ndani watapata cha mtema kuni... Na wenzangu akina FaizaFoxy ,Sexless et al tulikuwa tunasema hawa Mayahudi wanategwa tu kuingia Gaza. Baadaye Maarabu yake yageuze kibao. Yawazunguke.... Kumbe hamna lolote. aliyekuwa anatupa hizo taarifa alikuwa muongo kama kawaida yake.
Sasa tumeona kuwa hali ni mbaya.... Kule Gaza... Hakukaliki tena. Hamas wameona basi yaishe.... Mambo yasiwe mengi. Sisi huku lakini haturudi nyuma tutaendelea kukomaa mimi ni Hamas wa kwa Mtogole na wenzangu mmoja wa Manzese mwingine wa Mabibo maji Matitu.
Hatukubali kushindwa... Na hao mateka sisi hatuwaachii... Kwanza kwa nini Israel haijagundua walipo? Si ilipaswa wagundue? Mbona wameendelea tu kutembeza kipigo kwetu na si kugundua walipo? Wametugonga sana. Wameua hadi kuku na bata wetu. Acha watoto ambao tuliwatumia kama kinga.
Utatoa hutoi? Sitoi... Kuuuh.... Utatoa hutoi.... Sitoi... Kuuuh. Utatoa hutoi. Natoa... Haya.... Kaa mkao wa kutoa. Hamas... Haya....
Mimi nilikuwa na bado nawashabikia Hamas. Nlikuwa nasema ni mtego tu Mayahudi wakiingia ndani watapata cha mtema kuni... Na wenzangu akina FaizaFoxy ,Sexless et al tulikuwa tunasema hawa Mayahudi wanategwa tu kuingia Gaza. Baadaye Maarabu yake yageuze kibao. Yawazunguke.... Kumbe hamna lolote. aliyekuwa anatupa hizo taarifa alikuwa muongo kama kawaida yake.
Sasa tumeona kuwa hali ni mbaya.... Kule Gaza... Hakukaliki tena. Hamas wameona basi yaishe.... Mambo yasiwe mengi. Sisi huku lakini haturudi nyuma tutaendelea kukomaa mimi ni Hamas wa kwa Mtogole na wenzangu mmoja wa Manzese mwingine wa Mabibo maji Matitu.
Hatukubali kushindwa... Na hao mateka sisi hatuwaachii... Kwanza kwa nini Israel haijagundua walipo? Si ilipaswa wagundue? Mbona wameendelea tu kutembeza kipigo kwetu na si kugundua walipo? Wametugonga sana. Wameua hadi kuku na bata wetu. Acha watoto ambao tuliwatumia kama kinga.