Wayahudi wangekuwa na roho mbaya na itikadi za kitapeli tapeli huo msikiti wa Al-Aqsa ungekuwa ushaharibia muda mrefu

Wayahudi wangekuwa na roho mbaya na itikadi za kitapeli tapeli huo msikiti wa Al-Aqsa ungekuwa ushaharibia muda mrefu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
b3902e572a6e4573e23c5525faff9390~2.jpg

Wayahudi wenyewe wanaamini hapo ulipojengwa msikiti wa al aqsa ndipo solomon alipojenga hekalu la kuabudu.

Ndio maana wamejitengea kasehemu kao maeneo hayo ambapo wanafanya ibada na hija.

Sasa niambie kama ingekuwa ni wale ndugu zetu wengine unafikiri hekalu wangeliacha hivi hivi.

KINACHOPIGANIWA SIO HAKI WALA ARDHI WALA UKOMBOZI ILA NI ITIKADI, ITIKADI ZA KITAPELI.
 
Sijui kwenu kama mna Tv kweli , wanaua watoto jumlisha kuwatemea mate wakristo bado unaamini hao jamaa , nan kakudanganya ?

Soma documentaries nyingi uone watu wanavyouliwa hapo , msikiti na hilo eneo kuna maeneo matatu , kulikuwa na waislamu wengi baada wakajenga nyumba na kuhamisha settlers , waislamu wananyanyaswa hapo na wengi wameuliza ...Watu kama buku wako kweny kuzuizi na mateso juu .
 
View attachment 3124722
Wayahudi wenyewe wanaamini hapo ulipojengwa msikiti wa al aqsa ndipo solomon alipojenga hekalu la kuabudu.

Ndio maana wamejitengea kasehemu kao maeneo hayo ambapo wanafanya ibada na hija.

Sasa niambie kama ingekuwa ni wale ndugu zetu wengine unafikiri hekalu wangeliacha hivi hivi.

KINACHOPIGANIWA SIO HAKI WALA ARDHI WALA UKOMBOZI ILA NI ITIKADI, ITIKADI ZA KITAPELI.
Umewekwa kiporo
 
Muyahudi anaweza kukaa na muislamu lakini haitokaa itokee muyahudi akae na mkristo, na hua wako wazi hawawapendi wakristo na ukristo wenyewe , wayahudi huwaita wakristo watu waongo na wanaodandia imani
 
Back
Top Bottom