Wayahudi wazidi kuishangaza dunia, watengeneza gari linalotumia maji badala ya mafuta

Wayahudi wazidi kuishangaza dunia, watengeneza gari linalotumia maji badala ya mafuta

Waisrael wana makusudi sana, Wanataka Waarabu waishije?
Mkuu sio tu waarabu uchumi wa Marekani, Russia, Uingereza, Canada, India,China,Nigeria, Brazil, Mexico, Venezuela, Indonesia, Australia, Norway, wanategemea nishati ya mafuta kiuchumi.Lakini nadhani miaka zaidi ya 50 ijayo kwa kiasi kikubwa dunia itaendelea kutumia mafuta.Sema tu kuna tafiti nyingi zipo maabara za kuimarisha au kuboresha nishati ya mafuta isiwe adui wa mazingira.
 
Kama ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. unabadilisha maji. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuoaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwe ye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakwluwa ni janga kubwa kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Bapa myahudi atakuwa amefanikuwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advanta.
Utakua Mtoto wa 2000 mbona magari ya maji yalishatengenezwa toka miaka ya nyuma pia hata
Magari ya kutumia makaa ya mawe yalishatengenezwa mda sana
 
Kama ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. unabadilisha maji. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuoaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwe ye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakwluwa ni janga kubwa kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Bapa myahudi atakuwa amefanikuwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advanta.
.
 
Kama ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. unabadilisha maji. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuoaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwe ye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakwluwa ni janga kubwa kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Bapa myahudi atakuwa amefanikuwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advantages.
Mfumo huu si mpya ulianza miaka mingi isipokuwa kigugumizi kinatokana na usalama wa huo mfumo kama ulivyositishwa kwenye ndege.
 
Sio israel tu nchi nyingi zimejaribu kutengeneza mashine kwa kutumia nishati mbadala lakini gari za diesel na petrol zimeendelea kuleta ufanisi mkubwa sana kwa watumiaji ,na ukiangalia israel hana historia ya kufanya vizuri kwenye global market bidhaa zake mara nyingi zinashindwa kushindana sokoni, tofauti na wenzake wa asia, europe na marekani
Kama ndivyo ,jiandae kusikia marekani kanunua teknolojia
 
Mkuu sio tu waarabu uchumi wa Marekani, Russia, Uingereza, Canada, India,China,Nigeria, Brazil, Mexico, Venezuela, Indonesia, Australia, Norway, wanategemea nishati ya mafuta kiuchumi.Lakini nadhani miaka zaidi ya 50 ijayo kwa kiasi kikubwa dunia itaendelea kutumia mafuta.Sema tu kuna tafiti nyingi zipo maabara za kuimarisha au kuboresha nishati ya mafuta isiwe adui wa mazingira.
Sasahivi magari yanayotumia gesi na umeme ni mengi.

Marekani kwa asilimia kubwa wanategemea kuuza Teknolojia zaidi duniani Nchi zingine hapo zinategemea kuuza Silaha kama Russia, kina Nigeria wanategemea Kilimo, zingine Fishing, Mining n.k

Mwarabu hana Fishing, Tourism, Mining, Agriculture...na alishagundua hilo ndio maana akaamua kuinvest kwenye Transportation kama Air transport, Marine...ndio unamwona kwenye Mabandari, Emirates n.k

Ukiondoa mashine zinazotumia Petrol na Diesel unamuumiza sana Mwarabu na Ugaidi utakuwa kwa kasi
 
Sasahivi magari yanayotumia gesi na umeme ni mengi.

Marekani kwa asilimia kubwa wanategemea kuuza Teknolojia zaidi duniani Nchi zingine hapo zinategemea kuuza Silaha kama Russia, kina Nigeria wanategemea Kilimo, zingine Fishing, Mining n.k

Mwarabu hana Fishing, Tourism, Mining, Agruculture...na alishagundua hilo ndio maana akaamua kuinvest kwenye Transportation, Air, Marine...ndio unamwona kwenye Mabandari n.k

Ukiondoa mashine zinazotumia Petrol na Diesel unamuumiza sana Mwarabu na Ugaidi utakuwa kwa kasi
Na ndiyo maana wanasomba wanyama kutoka Africa ili walau kuwe na utalii kwao maana mfumo unaokuja wameshausoma
 
Na ndiyo maana wanasomba wanyama kutoka Africa ili walau kuwe na utalii kwao maana mfumo unaokuja wameshausoma
Kule yule Engineer Muingereza wakati wanajenga Burj khalifa alihojiwa akawashauri Waarabu kuwa Mafuta hayapo milele na hayapo miaka kadhaa ijayo, wao wanainvest kwenye kujenga majengo Marefu na mazuri ambayo hayaingizi chochote

Wakashtuka wakaanza kuinvest kwenye USAFIRISHAJI dunia nzima, ndio kuna EMIRATES, Ports Company n.k...sasahv wanadeal na Bandari zaidi dunia nzima
 
Kama ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. unabadilisha maji. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuoaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwe ye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakwluwa ni janga kubwa kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Bapa myahudi atakuwa amefanikuwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advantages.
Hawajaanza wao sema wao wameshikilia media za dunia sasa wanadanganya wameanza wao.

Waongo sana hao.

Hio teknolojia sio ya leo, ya kabla ya mafuta kuanza kutumika.
 
Mwarabu yeye anavuga midevu tuu , kuoa wake wengi na kuoa vitoto hakuna chochote anachoweza KUGUNDUA
 
Wakati wenzetu wanagundua hayo, sisi akili zetu tumeelekeza kwenye kufungua makanisa mapya!
 
inawezekana ila hii taarifa ni ya uongo deep state ya dunia hawawezi ruhusu kitu kama hii maisha hata elon musk alishasema alikatazwa kuenda approach hiyo na hata sio hao ndo wakwanza watu wengi walishajaribu ikawezekana shida ni jinsi capitalist wa dunia wanaona
 
Kama ya Israel, iitwayo Electriq Global, imetengeneza gari yenye mfumo wa kubadilisha maji kuwa nishati ya kuendeshea gari.

Gari hilo, ukijaza maji kwenye tank, utahitajika kujaza mengine baada ya kilometa 1,000.

Mfumo wa nishati ya gari hilo ni kwamba unatengeneza hewa ya hydrogen kutoka kwenye maji uliyoyajaza, na hydrogen ndiyo inayoliendesha gari hilo. unabadilisha maji. Wataalam wa masuala ya nishati wanasema kuwa ugunduzi huu wa nishati ya maji katika kuendesha magari, unaweza kuwa ni safari ya kuoaga petrol na nishati nyingine zenye madhara kwa mazingira. Bado haijajulikana gari hili linaweza kuingia sokoni baada ya muda gani. Kwa sasa bado lipo kwe ye majaribio mbalimbali.

Ugunduzi wa nishati mbadala litakwluwa ni janga kubwa kwa mataifa hasa ya Kiarabu, yale ambayo uchumi wake kwa kiasi kikubwa unategemea mafuta. Bapa myahudi atakuwa amefanikuwa kummaliza kabisa adui yake mkuu Iran, ambaye uchumi wake, kwa zaidi ya 80% unategemea mauzo ya mafuta pekee yake.

Ugunduzi huu si wa ajabu kutoka kwa hawa watu, maana kuna gunduzi msululu za sayansi na tekinolojia, zinazotumika Dunia nzima, zilizofanywa na hawa watu. Ingependeza siku moja wagundue silaha inayoua gaidi pekee, ikiwaacha watoto na watu wengine wote wasio na hatia. Maana vifo vya watoto wadogo pale Palestina, vinaumiza na kusikitisha sana.

Soma Pia: Dunia ingelikwaje bila Wayahudi?

The water-powered car technology developed by the Israeli company Electriq Global utilizes a unique nano-technology that is able to split water into hydrogen and oxygen through a specialized membrane.

This membrane acts like an electrolytic cell, using electricity to break down the water molecules into their composite elements. The hydrogen produced from the reaction is then fed into the vehicle’s fuel cell.

In the fuel cell, the hydrogen combines with oxygen from the air to generate an electric current. This electricity powers the car’s electric motor, propelling the vehicle. Unlike traditional combustion engines, the only byproduct from this reaction is water, meaning the car emits only clean water vapor rather than any harmful emissions.

The test car achieved speeds over 70 mph and required no engine modifications besides connecting to an external water tank and fuel converter. Further road tests are planned using a Suzuki Vitara SUV retrofitted with a larger fuel converter and water tank to extend its range.

Electriq’s goal is to demonstrate over 600 miles per tank, comparable to traditional gasoline vehicles. So far, the technology has shown excellent results in normal driving conditions.

The truth is that a water car could be the end of petrol and all polluting fuels. We have known for years that hydrogen would play a very important role in the decarbonisation of mobility, but not to this extent. Will we soon see it on our roads? Let’s hope so, given its advantages.
Kwenye hili maua apewe yule mkenya ambaye walikuja kumuua.. Huyo ndio mwenye original version
 
Back
Top Bottom