Wayemeni wamekinukisha tena Red Sea, wameishambulia manowari ya kivita ya USA

Oct 7 , nilidhani hamasi wanajua wanacho kifanya ni kama tu nyie mazombi hamijui ?
sasa hawa wenye njaa nao wananunua ugomvi kwa war monger
 
Wameishambulia manowari ya kivita ya USA kwa missiles za za Dollar 2,000 nne, ote zimepigwa na missiles za Kamarekani zinazosikiwa kuwa zinagharibu zaidi ya Dollar million moja mpaka million 10 kila moja kwa uchache.
Kufikia hapa sitaki kusoma tena. Ambaye amesoma na kuelewa naomba anifafanulie.
 
Washangilieni hao kenge wenu baadaye kitakavyowageukia msije kulalamika hapa kwamba wanauliwa watoto na Wanawake.
 
Mkichapwa hatutaki mnalialia kuomba huruma
 
Dunia hii ina vituko mvaa msalaba wa mbao anamshambilia amayevaa kobazi kama vazi.
😂
Naangalia aljazeera wavaa vipedo na misuli wenzako huko Gaza wapo "stripped off completely" misuli na vipedo wanadaiwa kuficha silaha maeneo hayo nyeti. Wanadai haki za binadamu zipo wapi wanazalilishwa😂
Amakweli Wazayuni ni kiboko ya magaidi🤔
 
Mashoga na wavaa misalaba ya mbao ndiyo wanaamini propaganda za mabasha zako 😂 unakamata watu kwenye kambi ya wakimbizi wamejichokea na watoto umasema Hamas😂
 

Attachments

  • IMG_8538.jpeg
    65.5 KB · Views: 1
Na wewe ni msemaji wa USA??
 
Wapalestina na Wayahudi hawakuanzia tarehe hiyo...huo ni muendelezo.
Inawezekana hujafatilia huo mgogoro.
kipondo walichokitoa hamas October 7 hakijawah kutokea tangu waanze kudundana na kipondo kinachoendelea Gaza ni kikubwa mno hakijatokea apo Gaza tangu waanze kudundana Oct 7 itabak kwenye kumbukumbu zao kama Sept 11
 
 

Attachments

  • IMG_20231227_012428.jpg
    90.5 KB · Views: 3
Yemen nchi yenye njaa na maskini kuliko nchi zote uarabuni , haina Serikali iko vitani, kuna watu wanataka kujitenga.

Yaani kuna watu wanataka waje walaumu Marekani anawagombanisha
 
Former Israeli Chief of Staff Dan Halutz:

We lost the war against Hamas and our victory will be to eliminate Netanyahu.
 

Attachments

  • IMG_20231227_070532.jpg
    40.5 KB · Views: 2
Ha wahindi wamechapwa kwenye bahari yao kama walivyofanywa mazayuni.

Kumbuka hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…