Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
ROONEY ASAINI EVERTON
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, 31, amejiunga tena na Everton kwa uhamisho wa bure, miaka 13 baada ya kuondoka Goodison Park
Rooney aliichezea Manchester United mechi 559 na kupachika magoli 253.
Kurejea kwa Rooney Everton kumetokea wakati Manchester United wakikaribia kukamilisha usajili wa Romelu Lukaku kwa pauni milioni 75.
Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, 31, amejiunga tena na Everton kwa uhamisho wa bure, miaka 13 baada ya kuondoka Goodison Park
Rooney aliichezea Manchester United mechi 559 na kupachika magoli 253.
Kurejea kwa Rooney Everton kumetokea wakati Manchester United wakikaribia kukamilisha usajili wa Romelu Lukaku kwa pauni milioni 75.