Kama Ndugai yupo misri ushindi ni ndoto
Ngoja mda ufike tuHiyo aibu tunayokwenda kupata, Sijui tutaweka wapi sura zetu.
Harambee star's 2+ ccm fc 0 itapendeza zaidi.Usiku wa deni haukawii kucha.
Harambee Stars kila la heri.
Hakuna Matata
Utaumbuka!Ninayo furaha kubwa sana kuiona stars ikitoka na pointi sifuri kwenye mashindano
hahahhaaha waaamke hawa wangaWazalendo uchwara mpooo.
Mpira bado sanaa, kuna super comeback inakujahahahhaaha waaamke hawa wanga
pamoja na hayo siwezi iombea timu ya taufa mabaya namna hii.eti kwa kuwa viongozi flani flan wanaisapoti hell noMpira bado sanaa, kuna super comeback inakuja
TupooWazalendo uchwara mpooo.
Inanukia wapi?Nafasi ya best loser inanukia.
Utaumbuka!