Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

Wazalendo tunaoamini TAIFA STARS hawatatoka na point hata moja tukutane hapa

mimi bado namlaumu museveni sababu yeye ndie alitanguliza urafiki na jiwe mbele hadi akashawishi timu yake icheze chini ya kiwango ili stars ipite... ni afadhari uganda wangekomaa watufunge aibu iishie africa mashariki kuliko fedheha waliyotusababishia, shame on you yoweri kaguta museveni.
 
Ni vipigo tu vinaendelea,sipati picha Algeria watakavyotugaragaza lol[emoji52]
 
Ai
mimi bado namlaumu museveni sababu yeye ndie alitanguliza urafiki na jiwe mbele hadi akashawishi timu yake icheze chini ya kiwango ili stars ipite... ni afadhari uganda wangekomaa watufunge aibu iishie africa mashariki kuliko fedheha waliyotusababishia, shame on you yoweri kaguta museveni.
Duh!
 
Wazalendo wenzang Leo tena kwa timu ya watawala
 
Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu.

Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal

Hatuwezia kuwa na timu ambayo Aina chemistry katika kujengeka katika umoja.

Mpira sio mapenzi ambayo unafanya ukitaka watu wasione unaweza lakini Mpira haupo hivyo.

Najaribu tu kuwa mkweli katika hili

Yani karibu wabunge wote wanataka kwenda huko ili ni dalili za hali mbaya ya uchumi katika nchi yetu.

Nasema hatuwezi kupata hata point moja katika makundi.

Nasema ni kipingo tu.

mr mkiki.
Aiseee ulijuaje mkuu ?
 
Mimi ni Mtanzania, ila niliamua kuishangilia Harambee Stars baada ya kuambiwa kuwa timu iliyopo AFCON ni ya ccm na sio timu ya taifa la Tanzania.
So, ulipoamka kesho yake asubuhi ukajikuta kuwa wewe umebadilika kuwa Mkenya au?
 
Kiukweli kabisa timu yetu imepita kuwa miujiza tu, ni timu mbovu kabisa ambayo uwezo wa wachezaji tu ni mbovu.

Tulipaswa kutengeneza timu yetu hata kwa miaka 20 kama ilivyofanya Senegal

Hatuwezia kuwa na timu ambayo Aina chemistry katika kujengeka katika umoja.

Mpira sio mapenzi ambayo unafanya ukitaka watu wasione unaweza lakini Mpira haupo hivyo.

Najaribu tu kuwa mkweli katika hili

Yani karibu wabunge wote wanataka kwenda huko ili ni dalili za hali mbaya ya uchumi katika nchi yetu.

Nasema hatuwezi kupata hata point moja katika makundi.

Nasema ni kipingo tu.

mr mkiki.
Mkuu ubarikiwe sana, utabiri wako katika uzi huu umetimia vyema sana, ningekuwa karibu ningekulipia PESPI Mkubwa Wao.

Nafikiri uzi umefungwa rasmi. Hongera sana!
 
Back
Top Bottom