Digo zee
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 608
- 1,252
Kwakweli, unakula chungwa mpaka unahisi limeongezewa sukari.... Hatari sanaHajala machungwa ya Kibanda huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli, unakula chungwa mpaka unahisi limeongezewa sukari.... Hatari sanaHajala machungwa ya Kibanda huyu
Akitaka lakini [emoji2] [emoji2]Aje nae aoge maji ya iriki tu[emoji3]
Basi ngoja nitunze kanzu yangu isije pauka kabla ya sikuUsijali mie tena kwa majuba nnayo hivyo wala usiwe na shaka.
[emoji12] ntawawekea hapa kama mkuu wa wilaya akikubali kunipa.[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ewaaa. Hayo ndio maneno. [emoji23] [emoji23]Basi ngoja nitunze kanzu yangu isije pauka kabla ya siku
Na wala hawezi kukubali kukupa.[emoji12] ntawawekea hapa kama mkuu wa wilaya akikubali kunipa.
Hahaha mnajisifia tu hakuna loloteKwakweli, unakula chungwa mpaka unahisi limeongezewa sukari.... Hatari sana
[emoji3] [emoji3]Ewaaa. Hayo ndio maneno. [emoji23] [emoji23]
Namtuma karani wake anichukulie[emoji3]Na wala hawezi kukubali kukupa.
Siku izi hawarudi mkuuWaenda leo warudi leo
Unadhani hajipendi [emoji23]Namtuma karani wake anichukulie[emoji3]
Nyie mna cha kutaka kweli, mna njia zenu atasitukia tu keshayaoga na hapo ndo basi tena full kunukia kimaandazi mandaziAkitaka lakini [emoji2] [emoji2]
Namumdu yule lazima anipeUnadhani hajipendi [emoji23]
Imani tu hizo za hovyo hovyo ambazo wanaziamini watu wachache mmoja mmoja wapo ukiwa weweNyie mna cha kutaka kweli, mna njia zenu atasitukia tu keshayaoga na hapo ndo basi tena full kunukia kimaandazi mandazi
Hahaha mimi tena!Imani tu hizo za hovyo hovyo ambazo wanaziamini watu wachache mmoja mmoja wapo ukiwa wewe