Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
[emoji23] [emoji23]Wapi! Rudi hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23]Wapi! Rudi hapa
Jiandae juba la maana tukawatie pressure ugenini.Usijali nikumbushe tu siku ikifika rafiki
[emoji1][emoji1][emoji1] weshu tiiviewashambaa mzaivaa na mzaona?![]()
Kweli akili yako iko kwenye kisosi, uchumi wa maandazi na bagiaHii hatari, wanaosema tanga uchumi haupo wamefika tanga gani ? Njooni muone mahanjumati hayoooooooo. Kama huna hela utanunulia nini ? Badala ya kuja tanga eti mwenda dodoma. Mayoooooo kweli zimtini.
Daaah, nanjilinji [emoji23]Kwahiyo sisi wa nanjilinji uzi hautuhusu?
Kwanjeka... [emoji115]Na wa kwanjeka tupooo
Ntakisema baadae kwa siri.Niache nini sasa best. Wakati hujasema kitu chenye unachokitafuta [emoji85] [emoji85]
Donge hapo ndio nyumbani, karibu SanaDonge moja hiiyooooo jaman anaekaa mzingan nani
Tena sana, kila mwaka kama unataka detailed information usemeUmeshawahi kusikia tanga kuna kipindupindu
Ndio mkuu, tizaivanaSasa tuzungumze la maana hapa.
Tanga ni mkoa unaoweza kujijenga vizuri sana kiviwanda. Ipo katika uwezo wetu wana Tanga na Watanzania wengineo kuzitumia fursa zilizopo mkoani hapa kujikwamua kiuchumi. Aghalab sio uvivu bali ni kukosa muongozo wa kibiashara tufanye nini.
Nitatoa mifano ya fursa za kibiashara na viwanda zilizopo Tanga. Nikitambo kidogo tangu niwe nyumbani kwa hiyo mifano mingine inaweza kuwa tayari inafanyiwa kazi. Kama ni hivyo nijuze. Pia unakaribishwa kuongeza mifano mingine unayodhani inaweza kutusaidia kibiashara au kiviwanda.
Mifano:
1. Kusindika samaki karibu na bahari.
2. Kusindika nazi (tui la makopo) pamoja na bidhaa nyingine za minazi, kama vile pombe ya mnazi ndani ya kopo.
3. Kusindika matunda (maembe, machungwa, matufaa, n.k.), kutengeneza pombe ya matunda kama hard-cider kutokana na matufaa.
4. Kusindika mboga (kukausha-wanafanya hii sasa, kutia kwenye makopo, n.k).
5. Kutengeneza bidhaa za maziwa kama cheese, shikirimu, n.k.
6. Kutengeneza pombe kali (spirits) kutokana na mkonge (Taquila), kutokana na mnazi (distillery ya pombe ya mnazi), kutokana na pombe ya muwa (boha), kutokana na pombe ya mapumba ya mahindi (kangara).
Nimejaribu kutoa mifano ya kibiashara tunayoweza kiijengea viwanda nayo. Tunashindwa na nini ndugu zangu? Ama kweli penye miti hapana wajenzi. Tuibadilishe hii dhana jamani.
Pengine baadae tunaweza kuweka vichwa chini na kutengeneza Business Plans za baadhi ya hizi fursa.
WAKAYA TEVANA?
Hatari sana mkuu, ule uwanja wa mwakizaroTanga yetu......haijabadilika ligi uwanja wa bi fujo na mwakizaro bado mambo yapoo
Tizaiva... But mimi ni mdigowashambaa mzaivaa na mzaona?![]()
Eka dumzaona mambo ya kaya haya![]()
Asante sana mkuukaribuni bombo area
[emoji2] [emoji2] itakuwa ndio hicho hicho ninachokifikiria ujue. Au njoo kule uniambie basi. [emoji124] [emoji124]Ntakisema baadae kwa siri.
Naona ushakijua maana ushaanza kukionea aibu[emoji125]
KwemsalaMuheza moja hala
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Tena sana, kila mwaka kama unataka detailed information useme
Usijali mie tena kwa majuba nnayo hivyo wala usiwe na shaka lazima wapate pressure. [emoji124] [emoji124]Jiandae juba la maana tukawatie pressure ugenini.
Ewaaa, hehe itakuwa ndo hicho hicho. Ngoja nije huko chumbani sasa[emoji2] [emoji2] itakuwa ndio hicho hicho ninachokifikiria ujue. Au njoo kule uniambie basi. [emoji124] [emoji124]
Mimi wa michungwani pale soko jipya nyuma ya halmashauri kama unaelekea cityKwemsala