Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

Mifano:
1. Kusindika samaki karibu na bahari.
2. Kusindika nazi (tui la makopo) pamoja na bidhaa nyingine za minazi, kama vile pombe ya mnazi ndani ya kopo.
3. Kusindika matunda (maembe, machungwa, matufaa, n.k.), kutengeneza pombe ya matunda kama hard-cider kutokana na matufaa.
4. Kusindika mboga (kukausha-wanafanya hii sasa, kutia kwenye makopo, n.k).
5. Kutengeneza bidhaa za maziwa kama cheese, shikirimu, n.k.

Pengine baadae tunaweza kuweka vichwa chini na kutengeneza Business Plans za baadhi ya hizi fursa.

WAKAYA TEVANA?

Tizeiva mghoshi, hongea.
 
Oyoooooooooooooo
14504a898ae158f79794d2ca2115f14b.jpg
mambo ya tanga hayo
Aaah umenikumbusha mbali sana
 
Back
Top Bottom