ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
Kumbe wa mission weyeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] njo mpaka mission
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wa mission weyeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] njo mpaka mission
umeamini sasa unakujua na tewe[emoji23][emoji23][emoji23] shunie mishen nakujua nisalimie shekolowa
Hahah iwiii nisalimie mashombela shunie
Mifano:
1. Kusindika samaki karibu na bahari.
2. Kusindika nazi (tui la makopo) pamoja na bidhaa nyingine za minazi, kama vile pombe ya mnazi ndani ya kopo.
3. Kusindika matunda (maembe, machungwa, matufaa, n.k.), kutengeneza pombe ya matunda kama hard-cider kutokana na matufaa.
4. Kusindika mboga (kukausha-wanafanya hii sasa, kutia kwenye makopo, n.k).
5. Kutengeneza bidhaa za maziwa kama cheese, shikirimu, n.k.
Pengine baadae tunaweza kuweka vichwa chini na kutengeneza Business Plans za baadhi ya hizi fursa.
WAKAYA TEVANA?
Tewe sikujui ila mision napajua bestumeamini sasa unakujua na tewe
Kiwah maan kitawahiwa[emoji23][emoji2][emoji23][emoji23]Nitahamia tuwe majirani
Aaah umenikumbusha mbali sanaOyoooooooooooooomambo ya tanga hayo![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaan kilazimaWew nitakuja bwana huko sijui kange sijui usagara
milimani huko mbele ya mlalo na kitivoTewe sikujui ila mision napajua best
Na nilivyozimiss Anjari na kalimati na mama pale barabara ya 2Kiwah maan kitawahiwa[emoji23][emoji2][emoji23][emoji23]
Wewe si haumpendi baba ako mdogo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaan kilazima
Kitivo napasikia pia ila sijafik nimezurura mkongoron na mission barid la mwez wa 6 sitolisahaumilimani huko mbele ya mlalo na kitivo
Huhuu tanga rahaNa nilivyozimiss Anjari na kalimati na mama pale barabara ya 2
juzi nimetoka huko nilifiwa dec tunaenda tenaKitivo napasikia pia ila sijafik nimezurura mkongoron na mission barid la mwez wa 6 sitolisahau
hahhahah bamdogo weweWewe si haumpendi baba ako mdogo
Aaah mie huk sijui mwak gan tenjuzi nimetoka huko nilifiwa dec tunaenda tena
Huhuu tanga oyeeeHumu ndio pakupata mabinti wa kitanga [emoji3]
Asante..ila nikweli mnajua mahaba?Karibu, watu wa Tanga wamejawa na ukarimu.
Ha ha ha..!! Tena sana, wahenga wanasema Tanga ndipo mapenzi yalipozaliwa.Asante..ila nikweli mnajua mahaba?