ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
- Thread starter
- #861
kama kawaMwataka kusoma kisomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama kawaMwataka kusoma kisomo
Hahah hamruhusiwi
Twende RaskazoneWanapaita Tanga sisi tunapaita nyumbani Tanga ndio kwetuu
Haya karibunUkhuty mnatutenga bhana!
Mimi pia
Asante nishakaribiaHaya karibun
Kumbe hawa ni watanga wenzanguShunie madam b lady Aj emmyta sky eclat mko wapi twende tangamano kesho jumamos
Ukhty upo Tanga??? me nakuja likizo huko soon ntakuwepo mitaa ya sahareHaya karibun
Nilikuwepo muda huo wakati na post. Nimetoka kununua samakiMkuu mbona picha zote za Deep sea tu??? duh kitambo sana! aisee kwa waliokuwepo huko njooni inbox basi tujuane. mimi nategemea kuanza likizo 3rd November na ntakuja Tanga huko kama vipi tuonane wadau
Duh kwa hiyo upo huko?? nkija ntakutafuta mwananguNiikuwepo muda huo wakati na post. Nimetoka kununua samaki
Siku hizi sipio Tanga. nipo bara. Nimekuja nyumbani kupumzika kidogoDuh kwa hiyo upo huko?? nkija ntakutafuta mwanangu
tupovipi huu uzi wenyew wameenda wapi?