Wazamani (wahenga) tukutane hapa

Pale Posta ya zamani kwenye stand ya Temeke kipindi hicho, kulikuwa na jamaa wanachoma mihogo kwa mafuta ya mawese. Ukila mipande mitatu na maji ya kwenye ndoo siku inapita vizuri kabisa.
Hahahaha, kula sana mihogo huku mnatazama movie kibububu

Avalon ndio imekua Ofc za Tunakopesha eeh , na Empire mmevunja kabisa, odeon mmempa Mo ,dah kitambo

Ila yote Tisa ile story ya MTU kageuka chatu ,ilibamba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha Mimi na mdogo wangu tulivyokuwa tunagombea hela mezani tukanunue vitu badala ya dada wa kazi na lazima atatuambia kaagizwa nini hapo manunuzi ni nusu ya pesa tunakusanya tupate Shs 20 ya Silent Inn siku ya Jumamosi utamaduni muungano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…