mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
California na Jolly yake. Jolly ndio palekuwa na malaya wanaojiuza ghali zaidi Dar.Mbowe,DDC (Kariakoo/Magomeni Kondoa), Imasco, Lang'ata, Mambo club, Rungwe oceanic, Silver sands, Msasani beach, La Dolce vita, Casanova
Wengine walikuwa wanapaka KANYA na YOMBOO ili nywele ziwe nyeusi
Baadae zilikuja baiskeli zinaitwa Hamilton.Yolanda. sabuni kodrai. kampuni ya mafuta Bp na caltex. Jumba la sinema shani, sapna, avalon. baiskeli ya swala. avon. phoenix.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marhabaa mtoto mzuriShikamoni wahenga
Kimbo mafuta yale yalikuwa kama blueband, hivi hata maendeo ya joto yalikuwa yanabaki yameganda hivyohivyo?Unakumbuka fry mate?
Kimbo?
Hahahaha, kula sana mihogo huku mnatazama movie kibububu
Avalon ndio imekua Ofc za Tunakopesha eeh , na Empire mmevunja kabisa, odeon mmempa Mo ,dah kitambo
Ila yote Tisa ile story ya MTU kageuka chatu ,ilibamba sana
Hayo masinema ukipita hata huwezi kudhani yalikuwa yanabamba! Nilisahau Starlight Cinema
Yeah
Hii ndio ile unaifungua katikati inajikunja?
Hapana ni kama Mountain lakini haina gia. Zile za kukunja ni Bromton.Hii ndio ile unaifungua katikati inajikunja?
Tulikuwa tukipelekwa Empire tunakaa mbele kabisa mkitoka shingo zinauma [emoji3][emoji3][emoji3]Empress, Empire, Avalon, New chox, Cameo, Odeon, Drive-in cinema
[emoji3][emoji3][emoji3] hivi hii ilikuwa kweli au uvumi tu?Hahahaha, kula sana mihogo huku mnatazama movie kibububu
Avalon ndio imekua Ofc za Tunakopesha eeh , na Empire mmevunja kabisa, odeon mmempa Mo ,dah kitambo
Ila yote Tisa ile story ya MTU kageuka chatu ,ilibamba sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hio kweli mkuu, meli imeondoka ikaenda kule mbele ikaweka nanga kama wiki hivi,jamaa wanaibuka chimbo usiku kucheki mataa ya Oysterbay wakajua washafika kwa Madiba wakajitosa kwenye maji wameogolea kufika ufukweni wanakutana na kibao 'USIOGELEE HAPA' hapo ndio wakajua wameibukia coco beach!
Umenikumbusha Mimi na mdogo wangu tulivyokuwa tunagombea hela mezani tukanunue vitu badala ya dada wa kazi na lazima atatuambia kaagizwa nini hapo manunuzi ni nusu ya pesa tunakusanya tupate Shs 20 ya Silent Inn siku ya Jumamosi utamaduni muunganoKuna sehemu ilikuwa inaitwa Kinondoni stereo (KIBISA) walikuwa wanafanya maonesho kila weekend nafkiri, walikuwa wakipita barabarani kwa ajili ya PA walikuwa wanapita huku jamaa kabeba joka kubwa tu ila haling'ati ndio ikawa sababu mpaka leo ukiwa na dushe lililodhoofu unaitwa joka la kibisa...!