[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio ulikuwa unakumbushwa hivyo kuwa wewe sio mtoto tenaNilistuka siku moja niko Arusha naingia Lodge nakaribishwa "karibu Mzee". Duh. Niliwaza sana!!
Ha ha ha niliingia ofisi za Tanesco nikasikia mdada anawaambia wenzie 'msikilizeni Baba tafadhali' ilibidi nikajiangalie kwenye kiooNilistuka siku moja niko Arusha naingia Lodge nakaribishwa "karibu Mzee". Duh. Niliwaza sana!!
Mwanzoni nikaona kama naonewa vile. Maisha haya ni hatari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio ulikuwa unakumbushwa hivyo kuwa wewe sio mtoto tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka, unashtuka kuitwa baba? Mbona sisi tunaitwa mama hatushtuki hataHa ha ha niliingia ofisi za Tanesco nikasikia mdada anawaambia wenzie 'msikilizeni Baba tafadhali' ilibidi nikajiangalie kwenye kioo
Ndio itabidi uzoeeMwanzoni nikaona kama naonewa vile. Maisha haya ni hatari.
Ukiishi mjini kengele ya kukuzindua kwamba umeshazeeka huwa inachelewa sana kulia. Na ndiyo maana ni rahisi mtu wa kijijni kuwa na "mji" wake tofauti na wa mjini.Ndio itabidi uzoee
π π π π tatizo ni huyo anaeniita hivyo! Mimi namuona mdada ananifaa kabisa yeye ananiona Baba yake! It's not fair[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki nimecheka, unashtuka kuitwa baba? Mbona sisi tunaitwa mama hatushtuki hata
Tatizo huanzia hapa.Mimi namuona mdada ananifaa kabisa yeye ananiona Baba yake! It's not fair
Ila nishaanza kuzoeaTatizo huanzia hapa.
[emoji16][emoji16][emoji16] hivyo eeh? Ningekuwa kijijini huwenda kweli na mimi ningekuwa na mji wanguUkiishi mjini kengele ya kukuzindua kwamba umeshazeeka huwa inachelewa sana kulia. Na ndiyo maana ni rahisi mtu wa kijijni kuwa na "mji" wake tofauti na wa mjini.
[emoji16][emoji16][emoji16] uoga wako ndio umaskini wako, kwani hujaona watu wanatoka na babu zao? Itakuwa wewe baba wa kulazimisha?π π π π tatizo ni huyo anaeniita hivyo! Mimi namuona mdada ananifaa kabisa yeye ananiona Baba yake! It's not fair
Ila tofautitsha kati ya Nyumba na mji!![emoji16][emoji16][emoji16] hivyo eeh? Ningekuwa kijijini huwenda kweli na mimi ningekuwa na mji wangu
[emoji16][emoji16] ndio hata mimi nazungumzia mjiIla tofautitisha kati ya Nyumba na mji!!
Maana unaweza kuwa na mke/mume na usiwe na ndoa na vile vile unaweza kuwa na nyumba na usiwe na mji!![emoji16][emoji16] ndio hata mimi nazungumzia mji
Inawezekana vipi uwe na mume/ mke na usiwe na ndoa?Maana unaweza kuwa na mke/mume na usiwe na ndoa na vile vile unaweza kuwa na nyumba na usiwe na mji!!
Sio kweli. Ilikuwa mtu anakodi kuendesha for fun.Ni kweli miaka ya nyuma dsm baiskeli zilikuwa zikitumika kubeba abiria kwa malipo kama zilivyo boda boda kwa sasa?? Wahenga mnijuze
Mia kwa lisaa unakamatia phoenix yako unazunguka wee mpaka basiSio kweli. Ilikuwa mtu anakodi kuendesha for fun.