Wazamani (wahenga) tukutane hapa

Wazamani (wahenga) tukutane hapa

Hio kweli mkuu, meli imeondoka ikaenda kule mbele ikaweka nanga kama wiki hivi,jamaa wanaibuka chimbo usiku kucheki mataa ya Oysterbay wakajua washafika kwa Madiba wakajitosa kwenye maji wameogolea kufika ufukweni wanakutana na kibao 'USIOGELEE HAPA' hapo ndio wakajua wameibukia coco beach!
Hahahahaaaaaa.....Yaaaani nacheeeka sina mbavu..!
 
Hio ya chini sio Vespa?
Wengi wanachanganya kati ya:-
Batavuz
na Vespa ama Scooter.

Nimekumbuka miaka ya 1980 kulikuwa na "Bajaj" mtaa wa Sunna Magomeni, alikuwa akiiendesha mzee mmoja wa Kipemba somebody Mganda (au baba Mganda or something). Alikuwa anabulemavu wa miguu.

Wakati huo Kampuni ya simu bado hawakiwa nazo!

James Jason
 
Wengi wanachqnganya kati ya:-
Batavuz
na Vespa ama Scooter.

Nimekumbuka miaka ya 1980 kulikuwa na "Bajaj" mtaa wa Sunna Magomeni, alikuwa akiiendesha mzee mmoja wa Kipemba somebody Mganda (au baba Mganda or something). Alikuwa anabulemavu wa miguu.

Wakati huo Kampuni ya simu bado hawakiwa nazo!

James Jason
Duh unajua hadi mtaa wa Suna? Suna si bondeni kiaina. Bado nakumbuka Mitaa kutoka chini kitonga,korongo,kongwa,dossi,tosheka,idrissa,...,mwisho garden ni uwalani au kiwalani.
Kuna ule unatoka juu hadi chini mkadini
 
Duh unajua hadi mtaa wa Suna? Suna si bondeni kiaina. Bado nakumbuka Mitaa kutoka chini kitonga,korongo,kongwa,dossi,tosheka,idrissa,...,mwisho garden ni uwalani au kiwalani.
Kuna ule unatoka juu hadi chini mkadini
Mkadini hahhahhaa, kulikuwa na chimbo la Safari, Pilsiner na Konyagi

James Jason
 
Mbowe,DDC (Kariakoo/Magomeni Kondoa), Imasco, Lang'ata, Mambo club, Rungwe oceanic, Silver sands, Msasani beach, La Dolce vita, Casanova
Imasco [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

e͕̓́s̤̓͝t̫͒̀-̭̅͝c͇ͬ̀e͎͂͞ ̡̘̔q̨̜̾u͙͂͢ẽ̷̯ ̣͆͜ṭ̡̈́u̶̖̾ ̯̈́͞m̡͕̄'̖̄̕a͉͆͘i̧͕͆m̛͎ͫĕ̸͍sͮ͟ͅ?
 
Tuletee za maharage kupimwa kwa lita! Hii issue ilileta kizaazaa 😀 😀 😀 😀 😀 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee ujue mimi nawashangaa mnaoshangaa. Kama inawezekana kupimwa kwa debe nini cha ajabu kupima kwenye lita?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee ujue mimi nawashangaa mnaoshangaa. Kama inawezekana kupimwa kwa debe nini cha ajabu kupima kwenye lita?
Wala sijashangaa coz nilielewa straight away, ni maharage yanajazwa kwenye kikopo cha lita moja. Wenzio wamekariri lita ni kipimo cha vimiminika
 
R.T.D kipindi cha Bujaga izengo kadago,kilikua kinaitwa Ngoma zetu asilia,

Tangazo la IPP "Ah! mama Mariam vipi?...Hizi nguo dadaangu,nimetumia kila aina ya sabuni lakini bado tu hazitakati!!" "Si utumie Komesha"
 
Back
Top Bottom