Wazambia watumia akili kwenye soko la mahindi

Wazambia watumia akili kwenye soko la mahindi

Hakuna procurement yoyote serikali ya Tanzania imewahi kufanya toka dunia imekuwepo yenye value zaidi ya trillion 1.5 kwa mkupuo! Kwa mara ya kwanza serikali ililipa downpayement ya billion 688 juzi kwenye Nyerere Dam Project



Mnavyojitoa ufahamu, wapi imesemwa mliiba zote kwa procurement moja, mfuate Zitto aliwahi kutabainisha shlingi kwa shilingi jinsi mliziiba mkamkimbia.
 
Hiyo trillion 1.5 imeibiwaje sasa? Sababu njia za kuiba pesa ya serikali kwa muda mfupi hivyo common ni kupitia procurements au mikataba ya kiuwekezaji, sasa ni procurements zipi serikali ilifanya ika over declared amount sahihi ambayo hiyo trillion 1.5 ikapatikana? Show me how!
Hivi anaijua T 1.5 au anaisikia tu huyo bwege 😂😂😂
 
Mnavyojitoa ufahamu, wapi imesemwa mliiba zote kwa procurement moja, mfuate Zitto aliwahi kutabainisha shlingi kwa shilingi jinsi mliziiba mkamkimbia.
Huwezi kuiba pesa yote hiyo ya serikali kwa kipindi cha miezi 6 (muda ambao CAG anafinyia auditing accounts za serikali) kwa muda mfupi hivyo tofauti na nilivyooleza unless hiyo ni nchi ya ulimwengu wa kwanza, zito kitu gani mwehu tu yule anawakokota zero brain wenzake.
 
😂😂😂
😂😂😂😂 Anawaambia matrilioni yanaibiwa ila serikali ikisema imejenga kitu au kununua kitu kwa pesa zake na kitu chenyewe kinaweza kuwa hakizidi billion 200, wanatahamaki na kusema serikali haina hiyo pesa TRA imefilisika, huo ni mkopo 😂😂😂😂😂😂

Hapo ndio unajua hawa wehu
 
😂😂😂😂 Anawaambia matrilioni yanaibiwa ila serikali ikisema imejenga kitu au kununua kitu kwa pesa zake na kitu chenyewe kinaweza kuwa hakizidi billion 200, wanatahamaki na kusema serikali haina hiyo pesa TRA imefilisika, huo ni mkopo 😂😂😂😂😂😂

Hapo ndio unajua hawa wehu
Hawa jamaa wana uwezo mdogo wa kufikiri 😂😂😂
 
Huwezi kuiba pesa yote hiyo ya serikali kwa kipindi cha miezi 6 (muda ambao CAG anafinyia auditing accounts za serikali) kwa muda mfupi hivyo tofauti na nilivyooleza unless hiyo ni nchi ya ulimwengu wa kwanza, zito kitu gani mwehu tu yule anawakokota zero brain wenzake.

Huwa mnamuita mwehu, majina ya kila aina ikiwemo hata kumzushia uraia lakini huwa hachoki anawaumbua tu
 
huyo mtanzania atakaekua anakuja kwenye nchi kama hii 👇👇👇
Atakua na matatizo ya akili



 
wazambia wazee wa lungu wanajielwa sana...sijui jama wa ze koroshow! wamefikia wapiii..😛😀😎
Unajua wazambia nao awachambi kama nyinyi ni kujipangusa tu na kuvaa nguo sijui mnajisikiaje comfortable kutembae na kinyesi siku nzima,?
 
Hujawahi ninukuu, Leo umeninukuu Mara nyingi hadi raha. Kuna nini Bw.mdogo? Hujasafisha NYOTA?
Anyway, don't worry about me drinkin' chang😡@.Drinking is an emotional thing. It joggles you out of the standardism of everyday life, out of everything being the same. It yanks you out of your body and your mind
Ingilishii mingii kumbe
 
Huwa mnamuita mwehu, majina ya kila aina ikiwemo hata kumzushia uraia lakini huwa hachoki anawaumbua tu
Hakuna asiyemjua Zitto kuwa mbwatukaji ama mropokaji.
Wenye akili timamu hawamfuatilii kaa ukilijua hilo.
Maana kila anachoongeaga kinakuwa na zero evidence na watu wana flash km wana flash kimba chooni.
 
Hakuna asiyemjua Zitto kuwa mbwatukaji ama mropokaji.
Wenye akili timamu hawamfuatilii kaa ukilijua hilo.
Maana kila anachoongeaga kinakuwa na zero evidence na watu wana flash km wana flash kimba chooni.

Inategemea ni watu wagani anaambia, na wana uwezo gani wa kudadavua anachokisema, jamaa ana kipaji kizuri sana, analysis zake huwa thorough, sema walengwa ni nyie ambao hata kusoma paragraph moja ya andiko lolote huwa mtihani.
 
Inategemea ni watu wagani anaambia, na wana uwezo gani wa kudadavua anachokisema, jamaa ana kipaji kizuri sana, analysis zake huwa thorough, sema walengwa ni nyie ambao hata kusoma paragraph moja ya andiko lolote huwa mtihani.
Dooooooh yashakuwa hayoo!!!
KAKA ANGU HUMJUI ZITTO KAMA IPASAVYO.
ZITTO MROPOKAJI SANA NA HUWA HANAGA STRONG EVIDENCE NA AONGEAYO.
MWISHOWE WATU HUYATUPILIA DAMPO MANENO YAKE.
MUACHE ABWATE AKICHOKA ATAACHA.
 
Dooooooh yashakuwa hayoo!!!
KAKA ANGU HUMJUI ZITTO KAMA IPASAVYO.
ZITTO MROPOKAJI SANA NA HUWA HANAGA STRONG EVIDENCE NA AONGEAYO.
MWISHOWE WATU HUYATUPILIA DAMPO MANENO YAKE.
MUACHE ABWATE AKICHOKA ATAACHA.

Ndio maana nilikuambia uzungumze kwa niaba yako mwenyewe, fungua nyuzi alizoanzisha humu JF uone wanao comment, Watanzania wengi wanamsifu ila maccm wanatukana kama ilivyo kawaida yako, hawajadili hoja anazoibua.
 
Back
Top Bottom