Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Umuhimu wa mtu huja baada ya mtu kuondoka
Nakumbuka kipindi Cha JPM watu walimmiss sana Kikwete
Cha ajabu leo wame mmiss sana jpm
Usishangae kesho wakimsifia na kummiss sana Samia
Binadu ndivyo tulivyo hasa wale tusio taka kuji shughulisha na tunao amini katika bule
Nakumbuka kipindi Cha JPM watu walimmiss sana Kikwete
Cha ajabu leo wame mmiss sana jpm
Usishangae kesho wakimsifia na kummiss sana Samia
Binadu ndivyo tulivyo hasa wale tusio taka kuji shughulisha na tunao amini katika bule