Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
warioba alipokuwa anahojiwa na itv dk 45 alisema wanzanzibari wengi walioongea nao wakati wa ukusanyaji maoni ya katiba waliutaka muungano ila walitaka mambo fulani yarekebishwe, ila watanzania bara wengi waliukataa muungano, hii ikaonesha kuwa wabara hawautaki kuungano na wanzanzibari wanautaka mungano, sijui warioba alimaanisha alichokuwa anaongea au aliongea kwa makusudi fulani.
Inawezekana Warioba alikosea. Tunachojua sie ni kwamba Wazanzibari weeeeengi sana hawautaki muungano. Na sababu ni moja tu: Muungano hauna faida kwao. Sisi watu wa bara tulio wengi tunachagua kukubaliana na wanzanzibari: Muungano hauna faida kwa Wazanzibari. Watoke!