Makucha
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 258
- 34
Kwanza haya ni maoni ya Waryoba au ya wa wananchi kama yalivyochambuliwa na Kamati. Kama ni ya Waryoba na mimi nina hofu kubwa na kama inatokana na uchambuzi wa maoni yetu uliofanywa na Kamati mimi sina hofu kabisa maana mimi ni nani kupinga ya wengi Tanzania yote?
Tulikuwa na serikali mbili nia ikiwa kuelekea serikali moja. Kweli naheshimu maoni ya wengi ya serikali tatu. Maoni yangu binafsi niliyotoa ni kutoka serikali mbili ni serikali moja au muungano kuvunjika na hiki ndicho nilidhani wazanzibari wanataka na hasa wanapofikia kutamka muungano wa mkataba - Si bahati, kamati ilizuiwa kufanya zaidi katika hadidu rejea. Tatizo ni serikali haikutoa uhuru Kamati iseme kile wananchi wanataka kuhusu muungano.
Tulikuwa na serikali mbili nia ikiwa kuelekea serikali moja. Kweli naheshimu maoni ya wengi ya serikali tatu. Maoni yangu binafsi niliyotoa ni kutoka serikali mbili ni serikali moja au muungano kuvunjika na hiki ndicho nilidhani wazanzibari wanataka na hasa wanapofikia kutamka muungano wa mkataba - Si bahati, kamati ilizuiwa kufanya zaidi katika hadidu rejea. Tatizo ni serikali haikutoa uhuru Kamati iseme kile wananchi wanataka kuhusu muungano.