mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Bora wasepe.. Wanajiona sana hawa. Ka nchi kenyewe km Wilaya ya chunya. Tokeni mtuachia nchi yetu
Naunga mkono hojaBora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yetu,waishi kwa permit nchini.
Wewe muungano unakusaidia nini? kwanini isipingwe kura ya maoni?Huyu Bwana Ally inatakiwa apewe misukosuko.
Haiwezekani sisi tupiganie Muungano yeye akazanie kuuvunja.
Waondoke tu hawana maana yoyoteIna maana hawa kina bakharesa watarudi Zanzibar muungano ukivunjika? Niliwahi sikia wawekezaji wengi tu wa bara ni kutoka Zanzibar ni kweli?
Muungano uvunjwe haraka snWapewe tu. Wanaringa ka vile wao ndo oksijeni ya TZ. Shwain
Utabaki na is tanganyika yako na sio tanzania tena kwakuwa zan utakuwa hauko nae tena.Bora wapewe tu hata leo tubaki na Tanzania yetu,waishi kwa permit nchini.
Ina maana hawana haki ya kuhoji?Hakuna haja. Hao wana lao jambo. Suluhisho ni kupatiwa tabu.
Msilazimishe asee wana haki kama watu wengine, kwanini kuwe na kura ya maoni?Ndio, wanaletelea usumbufu tu.
Wajitegemee na budget pia wajue hawatagawiwa kama walivyozoea kutoka bara. Na akina Samia watarudi kwao Kisiwandui.
mama yako mlalamishi? Nauliza tu.Wana ungese sana hao. Walalamishi km wanawake
HayaHuwezi kutimiza kila takwa la mtu, unafanya yanayowezekana. Wengine itabidi kuumia tu.
Unahisi ikifanyika partition hizo 10KM zitakuwa za Zanzibar Imagine eti wazenji wamekaa Posta eti nchi yetu....kile cha Palestina na Ez ndio kitatokeaHilo halina mjadala unakuwa na ndugu alafu anakuwekea guu la shingo tuacheni tupumue,mnaogopa kuchukuwa zile 10km za ukanda wa pwani,maana mnajua kisheria hamtoki. Aafu saivi yupo Samia da tukiikosa chansi hii itabidi tusubirie mwengine akate roho.
Unatupangia jina lakujiita wewe vipi hii TANZANIASema Tanganyika yetu na sio Tanzania tena
wapewe hata leo hii, ila baada ya hapo wapewe masaa 48 wale wa dsm, kigamboni na nchi nzima bara wafungashe virago wasepe hatutataka kuwaona sura zao kabisa.
Ukisikia neno TANZANIA ni wapiUtabaki na is tanganyika yako na sio tanzania tena kwakuwa zan utakuwa hauko nae tena.
amini usiamini, wazanzibar wanafikiri wakiondoka kwetu wabara tutaumia, cha ajabu hakuna mtu wa bara ambaye huwa anaamini kuwapo kwao kuna maslahi kwetu. wangejua undugu ndio unatuunganisha, lugha na ujirani wasingeona waarabu ni wa muhimu kuliko sisi. hata hivyo, naamni wataamua kwa kura za maoni na uamuzi wowote watakaouchukua sisi wabara tunatakiwa kuuheshimu na kuupokea. kwani tunapata nini toka kwao hata hivyo?Huyo aliefanya petition katumwa na watu wenye interest zao binafsi sidhani kama amewashirikisha wazanzibar wote zaidi ya hawa wachache wanaotaka kitu ambacho hawakijui zaidi ya kufuata mkumbo tu, muungano unamanufaa sana pia ndugu zetu watambue wao ni watanzania wasiweke Uzanzibar kupita kiasi Tanzania ni yetu sote watembee huku bara fursa zipo kibao hasa kilimo na fursa zingine.