Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Another useless organization tu ambao nchi za kiislam zinapenda kulalamika wanaonewa na ambao sio waislamu ila angalia majanga wanayoyafanya wao; Sudan, Afghanistan, Somalia, Yemen, Saudi, Iraq. Majanga kibao ila wawezwe kulalamika waislam wakiwajibishwa ubabe wao ila dhumuni kubwa ni kuweka fikra ya Umma km dola moja yaani CaliphateHiyo OIC huwa ina manufaa gani katika sehemu ya mwili??
Hili jambo huwa nina uhakika huwa lina anzishwa kwa makusudi maalum ,
Maana ukijaribu kutafuta tofauti yake na hizi jumuiya nyingine ambazo nyingi tu tupo humo huoni na wala hakuna umaalum huo.