Anatetea dini ya haki ya Mwinyazi Mungu, shauri yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatetea dini ya haki ya Mwinyazi Mungu, shauri yako
Napenda anavolalamikagaAnatetea dini ya haki ya Mwinyazi Mungu, shauri yako
Singapore,South Korea, Thailand hawapo OIC lakini uchumi wao Upo vizuri, si vibaya tuendelee kujifunza pia kwa nchi ambazo hazipo OIC lakini zina excell kiuchumi.Kwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
aulize Serikali ya Uganda walifuata nini huko OIC ?!Fursa zipi hizo embu taja hata moja!
Utakuwa wewe una umwa, sisi sahivi ndiyo manamba wa Zanzibar tunalipa kodi tunaenda kuijenga ZanzibarHakuna kujiunga na magaidi, nikiwa rais naifuta nchi ya Zanzibar kule nateua wakuu wa mikoa 2 mkoa wa unguja na mkoa wa pemba, kisha napeleka jeshi atakayeguna hata kimoyomoyo anatandikwa fimbo 5.
Ni lazima tuwafundishe ustaarabu.
Uganda walipelekwa na Nduli Idd Amin ili serikali yake ipate uungwaji mkono na waislam na silaha kutoka nchi za Kiarabu!W
aulize Serikali ya Uganda walifuata nini huko OIC ?!
Kumbee 😳😀Uganda walipelekwa na Nduli Idd Amin ili serikali yake ipate uungwaji mkono na waislam na silaha kutoka nchi za Kiarabu!
Wanaleta ya yule waziri wa ardhi zamani alieropoka kwa chuki bila kuunganisha akiliWajiunge ni haki yao sababu ni nchi yao, muungano uvunjwe haraka
Baada ya Idd Amin alifuata Prof. Lule ambaye alipinduliwa na jeshi na wakafuata wanajeshi wengine kwa kupinduana. Baadaye Museveni akiwa na Kagame ambao walikuwa wapiganaji wa msituni wakalishinda jeshi na kuchukua madaraka. Mpaka leo Museveni yupo madarakani lakini hana mpango wa kuitoa Uganda katika OIC na wala wala hajishirikishi nayo sana!Kumbee 😳😀
Halafu baada ya Nduli Amin woote waliofuata mpaka Museveni wameshindwa kujitoa ??! 😅🙄
Waliojiunga na OIC wamefaidikaje??Kwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
Ahaaa kumbe OIC ni kundi la kigaidi kama HisbollahJoining OIC is about Foreign relations, which falls under Union matters. So as long as sisi Watanganyika hatuna interest na hicho kikundi cha magaidi, the other side of the Union can not join. Waachane na hili suala. Hata enzi za Mzee wa Ruksa , wenzetu wa Visiwani walishataka kuanza hizi chokochoko, ila bahati nzuri Mchonga ( RIP) alikuwa bado active na aliwakemea kwa nguvu zake zote wakaufyata na huyo mzee Ruksa wao. Sasa ngoja tumpime na huyu kwa hili.
Wazanzibar ni watu wa chuki snWanaleta ya yule waziri wa ardhi zamani alieropoka kwa chuki bila kuunganisha akili
Kusoma sana daima siyo mwanzo wa maarifa wala hekima.Kwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
huyu jamaa ametoa picha yote na ramani wanzanzibari wanafanya kwa Tanganyika. ndio maana watu waliuliza kwanini sisi tunakopa zanzibar wanafaidi ila hawalipi, kwanini deni la umeme kipindi cha magu walisamehewa kwahiyo sisi tunawalipia umeme? kuna faida gani Tanganyika inapata toka kwa Zanzibar? na kwa bahati mbaya, wakristo Tanzania ni 60% kwa sasa na wanazidi kuongezeka hivyo wasahau kabisa OIC.Kuna msukumo mkubwa wa Wazanzibari ukichagizwa na uislam kwa Rais Samia na Rais Mwinyi kutaka Serikali ya Zanzibar kujiunga na OIC ili vijana wa Zanzibar wapate ajira na ujenzi wa bandari kubwa kisiwani Unguja.
Hilo ni jambo jema kwa maendeleo kama yatapatikana kweli. Changamoto iliyopo ni maendeleo hayo kunasibishwa na uislam na waislam ambapo unaweza ukazaliwa ubaguzi mbaya sana wa kidini.
Angalizo kwa wale wanaotaka Zanzibar kujiunga na OIC ni kuwa kuna nchi nyingi za Kiafrika ambazo zilijiunga na Jumuiya hiyo kwa matumaini ya kupata maendeleo makubwa na ya haraka, lakini badala yake yakuzaliwa makundi ya magaidi wa kiislam ambayo yamekuwa hatari kwa serikali za nchi hizo na hakuna maendeleo yaliyokusudiwa. Mfano ni jirani yetu Uganda ambayo ni mwanachama wa OIC na walichovuna ni kuzuka kwa kikundi cha kigaidi kinachoisumbua serikali ya Museveni na hakuna mchango wo wote wa maendeleo ambao Uganda inapata!
View attachment 3112979
Kwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
This is a secular state. Acha upumbavu wakoKwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
Ni extremist to the extremeNapenda anavolalamikaga
Hilo nalo neno, ila nilikuwa nakumbushia ya Lukuvi aliposema wazanzibari wanataka waarabu warudi ili watutawale na ni ni hatari sana kwa usalamaWazanzibar ni watu wa chuki sn
Basi yapo manufaa wanayapata kule OIC !Baada ya Idd Amin alifuata Prof. Lule ambaye alipinduliwa na jeshi na wakafuata wanajeshi wengine kwa kupinduana. Baadaye Museveni akiwa na Kagame ambao walikuwa wapiganaji wa msituni wakalishinda jeshi na kuchukua madaraka. Mpaka leo Museveni yupo madarakani lakini hana mpango wa kuitoa Uganda katika OIC na wala wala hajishirikishi nayo sana!