Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Another useless organization tu ambao nchi za kiislam zinapenda kulalamika wanaonewa na ambao sio waislamu ila angalia majanga wanayoyafanya wao; Sudan, Afghanistan, Somalia, Yemen, Saudi, Iraq. Majanga kibao ila wawezwe kulalamika waislam wakiwajibishwa ubabe wao ila dhumuni kubwa ni kuweka fikra ya Umma km dola moja yaani CaliphateHiyo OIC huwa ina manufaa gani katika sehemu ya mwili??
Hili jambo huwa nina uhakika huwa lina anzishwa kwa makusudi maalum ,
Maana ukijaribu kutafuta tofauti yake na hizi jumuiya nyingine ambazo nyingi tu tupo humo huoni na wala hakuna umaalum huo.
Muungano uvunjwe harakaJoining OIC is about Foreign relations, which falls under Union matters. So as long as sisi Watanganyika hatuna interest na hicho kikundi cha magaidi, the other side of the Union can not join. Waachane na hili suala. Hata enzi za Mzee wa Ruksa , wenzetu wa Visiwani walishataka kuanza hizi chokochoko, ila bahati nzuri Mchonga ( RIP) alikuwa bado active na aliwakemea kwa nguvu zake zote wakaufyata na huyo mzee Ruksa wao. Sasa ngoja tumpime na huyu kwa hili.
Ni usumbufu tuHiyo OIC huwa ina manufaa gani katika sehemu ya mwili??
Hili jambo huwa nina uhakika huwa lina anzishwa kwa makusudi maalum ,
Maana ukijaribu kutafuta tofauti yake na hizi jumuiya nyingine ambazo nyingi tu tupo humo huoni na wala hakuna umaalum huo.
Bara tumekuwa kama manamba wa wazanzibar aseeNaunga mkono hoja yako
Ukivunjwa utapata hasara gani na wakijiunga wewe unapata hasara gani? sahivi bara tumekuwa kama manamba wa wazanzibarMuungano hautavunjwa na kamwe hawatajiunga
Samahani unaweza kusema ni points zipi ameongeaTo be Fair jamaa ameongea Pointi.
Ndiyo naingia JF, Vatican ......................Sioni tatizo lolote
Mbona tumejiunga na Vatican? 😂
Yap ondokeni harakaNi wakati wa kuvunja Muungano tujiunge na Waislamu wenzetu fursa nyingi zinatupita tuwaachie Wagalatia na makafiri ardhi yao
Saa hii OIC imeufyata wakati Israel inafanya yake huko Lebanon!Ujinga mwingine bwana; wanadhan wakijiunga OIC ndo wataendelea??? Somalia, Yemen, Sudan zote zipo na Nigeria ila wapi?? Hamna watu wabaguzi kama waislam ila wao sasa wakiguswa.....islamaphobia islamaphobia....mxieeeu yaani iyo Zanzibari ijitenge tu iwe nchi yao na uku Tanganyika tuombe tu Wakristo waendelee kuwa the majority coz hao na wenye dini zingine ndo nawaona wanaweza kutenganisha imani zao na serikali ila sio waislamu
nzetu Uganda 🇺🇬 wanafaidi fursa nyingi huko OIC kitambo sana !Kwanza naunga mkono sio Zanzibar kujiunga na OIC bali Tanzania tujiunge na OIC.
Kila nchi inaweza kufaidika kwa fursa zake, hivyo failures ya Uganda kufaidika na OIC is not an excuse Zanzibar isifaidike!. Kuahidiwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC kumeleta mshikamano na serikali? na Kumbe CCM na Ikulu ndio inaratibu Tanzania kuwa nchi ya Kiislam
P
Mmmh!Pointi kuwa asije akapatikana Rais mkristo atakayezuia Zanzibar kujiunga na OIC?
Fursa zipi hizo embu taja hata moja!We
nzetu Uganda 🇺🇬 wanafaidi fursa nyingi huko OIC kitambo sana !