Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Mzanzibar anauza bandari anauza misitu anauza ngorongoro bado sisi kutuuzaWatanganyika tunaonekana tumelala sana. Yaani tunazidiwa akili na watu wasio na vichogo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzanzibar anauza bandari anauza misitu anauza ngorongoro bado sisi kutuuzaWatanganyika tunaonekana tumelala sana. Yaani tunazidiwa akili na watu wasio na vichogo!!
wewe endelea kukamata hicho kichogo siku moja kitapanda bei utakuja uza upate faidaWatanganyika tunaonekana tumelala sana. Yaani tunazidiwa akili na watu wasio na vichogo!!
Kwa maana hiyo, hata sehemu za koloni hilo zikigawiwa kwa wajomba zetu, upande wetu ni sisi wazanzibar tunaofaidika. Hatuna uchungu wowote kugawa sehemu hiyo ya hilo eneo, kwa sababu huku kwetu Zanzibar ni neema tupu.Heshima kwenu,
Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).
Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.
Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).
Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.
Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
Usipindishe, swali hapa siyo kuipata hiyo eka moja au sehemu ndogo ya ardhi hiyo, tatizo ni kuweka sheria kubagua watu wa nchi moja.hiyo ekari moja ataipata wapi? Aseme square mita 400 mpaka 500 basi ni shida.
Lakini sijawahi kusikia watu wa Moshi wakikataza wanaotaka kwenda kuishi huko wakikatazwa, pamoja na udogo wa ardhi ya huko, au wewe ulishasikia hilo?anzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.
Kama suala ni udogo wa Zanzibar vipi kuhusu suala la uraia na kazi(ajira) kwa wa kuwa na uraia wa pande mbili? Bila shaka hoja ya udogo wa Zanzibar ni ya kujaribu kuhadaa watu wasihoji kuhusu muungano huo wa upande mmoja.Ushaambiwa zanzibar ni ndogo hakuna nafasi kwa mmbara kupata ardhi kule ila wazanzibar ruksa kupata ardhi bara tena waje kwa wingi. Tena unaambiwa visiwa hivyo ni tunu ya JMT vilindwe na vihifadhiwe ili visipoteze hadhi na asili yake. Ni kama hifadhi ya taifa
Mzanzibati Kaja huku baraMtikila alikuwa sahihi Tanganyika wageni ndio wanaoifaidi raisi mzenji makamo ni rund, makamu mwenyekiti CCM msomali.
Mawaziri kibao ni wasome, wanyarwanda, wamalawi na waarabu kama zung
wanasema zanzibar ni ndogo wabara wakihamia huko itapoteza uasilia wake. Kwa hiyo inatunzwa ibaki hivyohivyo ila wao wanaruhusiwa kwenda bara ni pakubwaLakini sijawahi kusikia watu wa Moshi wakikataza wanaotaka kwenda kuishi huko wakikatazwa, pamoja na udogo wa ardhi ya huko, au wewe ulishasikia hilo?
Kwa hiyo Zanzibar ni ya kipekee sana.
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.Usipindishe, swali hapa siyo kuipata hiyo eka moja au sehemu ndogo ya ardhi hiyo, tatizo ni kuweka sheria kubagua watu wa nchi moja.
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.
Ni ubaguzi tu hakuna kingine.Nimewahi kwenda Zazibar nikaona plot inauzwa, nilimuuliza mwenyeji wangu kama naweza kununua hiyo plot. Jibu lake lilikuwa ni vigumu sana. Sasa swali ni kwamba, kama plot inauzwa na sisi wote ni watanzania, iwapo muuzaji amekubaliana na bei ninayotaka kununua, kuna shida gani mimi kununua kama sio ubaguzi tu?Zanzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.
Sasa umewahi kusikia kwamba kwa kuwa Moshi ardhi ni ndogo basi makabila mengine hawaruhusiwi kununua ardhi ya Wachaga huko Moshi? Na kuna mtu amekuambia huko Zanzibar hakuna soko la ardhi kwa sababu ni ndogo? Au umesikia popote kwamba watu wa bara wakinunua Zanzibar watalazimisha wauziwe ili wabanane na watu wa Zanzibar?
Mtu ambaye anatoa sababu za watu wa bara wasinunue ardhi Zanzibar kwa sababu ya udogo wa ardhi si mjinga, bali ni mpumbavu na hana akili, hata kama yuko kwenye Baraza la Wawakilishi au ni kiongozi wa Zanzibar au serikali ya Muungano
Ni ubaguzi tu hakuna kingine.Nimewahi kwenda Zazibar nikaona plot inauzwa, nilimuuliza mwenyeji wangu kama naweza kununua hiyo plot. Jibu lake lilikuwa ni vigumu sana. Sasa swali ni kwamba, kama plot inauzwa na sisi wote ni watanzania, iwapo muuzaji amekubaliana na bei ninayotaka kununua, kuna shida gani mimi kununua kama sio ubaguzi tu?
Ni ubaguzi tu hakuna kingine.Nimewahi kwenda Zazibar nikaona plot inauzwa, nilimuuliza mwenyeji wangu kama naweza kununua hiyo plot. Jibu lake lilikuwa ni vigumu sana. Sasa swali ni kwamba, kama plot inauzwa na sisi wote ni watanzania, iwapo muuzaji amekubaliana na bei ninayotaka kununua, kuna shida gani mimi kununua kama sio ubaguzi tu?
Heshima kwenu,
Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).
Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.
Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).
Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.
Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
nimeamini kweli watz bara wanapenda ugomvi, maana sasa mumekomaa na zanzibar na huku akina mama wao wamekomaa na wakenya.Hawa watu dawa yao ni huu uvamizi uvunjike haya maneno maneno yaishe tuwawache na Raisi wao Mchaga