Wazanzibari ni raia daraja la kwanza katika JMT

Wazanzibari ni raia daraja la kwanza katika JMT

Heshima kwenu,

Sasa ni wazi kabisa katika Muungano wetu Wazanzibar wana uraia pacha (uRaia wa Zanzibar na uRaia wa JMT).

Mosi Wazanzibar wana uRaia wa Zanzibar, kupitia sheria zao ambazo wamezipitisha katika BLW (Baraza la Wawakilishi) ambalo WaTanganyika hawaruhusiwi kutia mguu. Kupitia BLW WaZanzibar wamekuwa wakipitisha sheria mbali mbali ambazo kwa namna moja zimekuwa zikiwabagua WaTanganyika.

Kupitia BLW Raia wa Zanzibar wana haki za kumiliki ardhi, kuajiriwa katika serekali na mashirika ya umma kama Bandari, Bank, Bima. Ni marufuka kubwa kuajiri waTanganyika (Machogo).

Kupitia BLW Wazanzibar wamepitisha sheria ambayo wanaitambua Zanzibar kama nchi ambayo ina mipaka yake ya nchi na bahari. Katika ya JMT inaitambua Zanzibar kama sehemu ya Tanzania. Sasa sijui Majeshi yetu yana linda nini huku nchi ya Zanzibar.

Kupitia hilo BLW Wazanzibar wote wana uRaia wa TANZANIA sawa na waTanganyika! Kupitia katiba yetu ambayo haiheshimiwi WaZanzibar wana haki zote huku Tanganyika ikiwemo ya kumiliki ardhi, kugombea nafasi yoyote ya kisiasa, kuajiriwa mahali popote bila bugudha yoyote.
nitajie kitu kimoja tu Tanganyika inafaidika toka kwa wazanzibari. kimoja tu. kitu pekee kilichopo, watu walipigwa mkwara hakuna kuongelea muungano, wamefumbwa mdomo, ukiongelea muungano tu wewe ni aidha mdini au msaliti. nyerere akatia woga watu wanaogopa hadi leo. ila ikiuliza tunafaidika na nini, hakuna jibu, ila upande wa wazanzibar wao wana faida lukuki.
 
wanasema zanzibar ni ndogo wabara wakihamia huko itapoteza uasilia wake. Kwa hiyo inatunzwa ibaki hivyohivyo ila wao wanaruhusiwa kwenda bara ni pakubwa
Hii habari ina mantiki yoyote?
Zanzibar inao utofauti gani wa kipekee na sehemu zingine duniani, au Tanganyika tu?
Zanzibar itabaki bila kubadilika hadi lini, na watazuia vipi isibadilike. Kuwazuia watu toka Tanganyika hakuzuii Zanzibar kubadilika. Waseme kwamba wataitoa Zanzibar duniani wakaihifadhi mahali fulani kusikofikiwa na wimbi la mabadiliko yanayotokea kila mahali duniani.
Hii sentensi ndipo palipo na UBAGUZI wa waziwazi kabisa. Watu wasiotaka mabadiliko Zanzibar; lakini wao wanaondoka na kwenda huko Tanganyika ambako wanaogopa watu wa huko watawaambukiza mabadiliko?
HUU NI UBAGUZI ULIOWAZI KABISA.
 
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.
Sasa hii habari ya waTanganyika kutoruhusiwa inatokea wapi. Ni makelele tu yanayopigwa na wahuni kutishia waTanganyika wasiende huko?
Itakuwa hao wahuni wamefanikiwa sana katika juhudi yao hiyo.
 
nitajie kitu kimoja tu Tanganyika inafaidika toka kwa wazanzibari. kimoja tu. kitu pekee kilichopo, watu walipigwa mkwara hakuna kuongelea muungano, wamefumbwa mdomo, ukiongelea muungano tu wewe ni aidha mdini au msaliti. nyerere akatia woga watu wanaogopa hadi leo. ila ikiuliza tunafaidika na nini, hakuna jibu, ila upande wa wazanzibar wao wana faida lukuki.
Dhana potofu kabisa. Wewe ni wakala tu wa kueneza upotoshaji. Ni wapi Nyerere alipiga marufuku muungano usiongelewe?
 
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.
Mda wowote wanaweza porwa ardhi hizo, kisheria ni wavamizi
 
Hii habari ina mantiki yoyote?
Zanzibar inao utofauti gani wa kipekee na sehemu zingine duniani, au Tanganyika tu?
Zanzibar itabaki bila kubadilika hadi lini, na watazuia vipi isibadilike. Kuwazuia watu toka Tanganyika hakuzuii Zanzibar kubadilika. Waseme kwamba wataitoa Zanzibar duniani wakaihifadhi mahali fulani kusikofikiwa na wimbi la mabadiliko yanayotokea kila mahali duniani.
Hii sentensi ndipo palipo na UBAGUZI wa waziwazi kabisa. Watu wasiotaka mabadiliko Zanzibar; lakini wao wanaondoka na kwenda huko Tanganyika ambako wanaogopa watu wa huko watawaambukiza mabadiliko?
HUU NI UBAGUZI ULIOWAZI KABISA.
wanasema ni kisiwa kidogo hakitaweza kuwa na watu wengi na kitapoteza utamaduni wake wa asili
 
wanasema ni kisiwa kidogo hakitaweza kuwa na watu wengi na kitapoteza utamaduni wake wa asili
WaTanganyika ndio wenye uwezo pekee wa kuleta uharibifu huo? Watazuia vipi mapadiliko yanayotokea kote duniani. Walipoingia ndani ya muungano walitegemea nini kitatokea?
Hii ni 'ignorancy' inayowasumbua.
 
WaTanganyika ndio wenye uwezo pekee wa kuleta uharibifu huo? Watazuia vipi mapadiliko yanayotokea kote duniani. Walipoingia ndani ya muungano walitegemea nini kitatokea?
Hii ni 'ignorancy' inayowasumbua.
wanaowatetea kwa hoja ni watanganyika, halafu hapohapo shangazi yetu yule anakandia watanganyika kuwa hawajitambui wamepoteza utaifa wao na wao wanajielewa na kujinasibu kisawasa
 
Mtikila alikuwa sahihi Tanganyika wageni ndio wanaoifaidi raisi mzenji makamo ni rund, makamu mwenyekiti CCM msomali.

Mawaziri kibao ni wasome, wanyarwanda, wamalawi na waarabu kama zung
Habari ndugu tunaomba jina lako na namba yako ya simu ili watoa huduma wetu waweze kukufikia kwa msaada zaidi.
 
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.
Hao wenye "nia hasa" ni akina nani. Na "nia hasa" ina maana gani?

Mtu akisikia habari za waTanganyika kutoruhusiwa kununua ardhi Zanzibar, na ikamfanya asiendelee na mipango hiyo, unaweza kusema hana "nia hasa)?

Hizo habari za waTanganyika kutotakiwa huko Zanzibar hata kama siyo rasmi, hazipo?
Wazanzibar wanaokwenda Tanganyika, na wao wanakabiriwa na vitisho vya kutotakiwa huko Tanganyika?
 
Tuendelee kukumbushana.

Mtanganyika unayemshabikia Samia kugombea uRais wa JMT ni bwege.
 
Back
Top Bottom