Wazanzibari ni raia daraja la kwanza katika JMT

Watu wa Zanzibar wapo juu sana ktk kila kitu
 
Kwa maana hiyo, hata sehemu za koloni hilo zikigawiwa kwa wajomba zetu, upande wetu ni sisi wazanzibar tunaofaidika. Hatuna uchungu wowote kugawa sehemu hiyo ya hilo eneo, kwa sababu huku kwetu Zanzibar ni neema tupu.

Nikuhakikishie, leo hii Mwalimu Nyerere angefufuka na kukuta hali hii iliyopo sasa atatusikitikia sana sisi waTanzania. Asingeweza hata kwa dakika moja aunde Muungano kama huu tulionao wakati huu.
 
hiyo ekari moja ataipata wapi? Aseme square mita 400 mpaka 500 basi ni shida.
Usipindishe, swali hapa siyo kuipata hiyo eka moja au sehemu ndogo ya ardhi hiyo, tatizo ni kuweka sheria kubagua watu wa nchi moja.
 
anzibar ardhi ni ndogo ndio maana wanaruhusiwa kuja kuishi bara. Ni kama vile Moshi ardhi ni ndogo ndio maana Wachaga wanaenda kuishi maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu Mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Tanzania.
Lakini sijawahi kusikia watu wa Moshi wakikataza wanaotaka kwenda kuishi huko wakikatazwa, pamoja na udogo wa ardhi ya huko, au wewe ulishasikia hilo?
Kwa hiyo Zanzibar ni ya kipekee sana.
 
Kama suala ni udogo wa Zanzibar vipi kuhusu suala la uraia na kazi(ajira) kwa wa kuwa na uraia wa pande mbili? Bila shaka hoja ya udogo wa Zanzibar ni ya kujaribu kuhadaa watu wasihoji kuhusu muungano huo wa upande mmoja.

Rasimu ya katiba ya jaji Warioba ilipendekeza kuwepo kwa serikali tatu ili muungano uonekane ni muungano kweli na sio porojo za ccm.
 
Mtikila alikuwa sahihi Tanganyika wageni ndio wanaoifaidi raisi mzenji makamo ni rund, makamu mwenyekiti CCM msomali.

Mawaziri kibao ni wasome, wanyarwanda, wamalawi na waarabu kama zung
Mzanzibati Kaja huku bara
1. kauza bandari zote
2.kauza mbuga zote,
3.kauza misitu Ile deal ya carbon credit
Watanganyika wapo wamelala upumbavu huu
 
Lakini sijawahi kusikia watu wa Moshi wakikataza wanaotaka kwenda kuishi huko wakikatazwa, pamoja na udogo wa ardhi ya huko, au wewe ulishasikia hilo?
Kwa hiyo Zanzibar ni ya kipekee sana.
wanasema zanzibar ni ndogo wabara wakihamia huko itapoteza uasilia wake. Kwa hiyo inatunzwa ibaki hivyohivyo ila wao wanaruhusiwa kwenda bara ni pakubwa
 
Usipindishe, swali hapa siyo kuipata hiyo eka moja au sehemu ndogo ya ardhi hiyo, tatizo ni kuweka sheria kubagua watu wa nchi moja.
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.
 
hapana cha kupindisha hapo, hebu ulizeni hao wanaoishi zanzibar ni kweli hawapati ardhi ya kununua? Nyinyi munajisemea tu humu kwenye mitandao lakini wale wenye nia hasa huwa wanapata ardhi.

Hawa watu dawa yao ni huu uvamizi uvunjike haya maneno maneno yaishe tuwawache na Raisi wao Mchaga
 
Ni ubaguzi tu hakuna kingine.Nimewahi kwenda Zazibar nikaona plot inauzwa, nilimuuliza mwenyeji wangu kama naweza kununua hiyo plot. Jibu lake lilikuwa ni vigumu sana. Sasa swali ni kwamba, kama plot inauzwa na sisi wote ni watanzania, iwapo muuzaji amekubaliana na bei ninayotaka kununua, kuna shida gani mimi kununua kama sio ubaguzi tu?
 
Ukanunue ardhi Zanzibar ili iweje? Hata mpira huwezi kucheza ukipiga shuti linaangukia baharini
 

Ndiyo bora huu uvamizi uvunjike mbaki na Raisi wenu Mbowe
 

Wale uamsho walipoyasema haya walikamatwa na kufungwa miaka zaidi ya 9 wakabambikiwa kesi Za kigaidi , Tutaona jee hawa waliotamka haya watafanywa kitu gani ??
 
Mzanzibati Kaja huku bara
1. kauza bandari zote
2.kauza mbuga zote,
3.kauza misitu Ile deal ya carbon credit
Watanganyika wapo wamelala upumbavu huu
Kauza na KIA kwa wajomba zake wa Oman.
 

Maelezo ya Mbowe ni kuikandamiza zaidi Zanzibar. Kwani hoja zake Rais asitoke Zanzibar ( sehemu ndogo kuiongoza kubwa) .
Hoja ya pili ni idadi ya Wabunge kulingana na idadi ya watu.
Hoja zote sio za haki ya nchi mbili zilizoungana, ni hoja za mmoja kummeza mwengine na kuwa moja.
Kwa nini asiseme Sudan ya Kusini yenye mil 10 kuwa na uwakilishi sawa wa wabunge na Tanzania mil 65 katika bunge la afrika mashariki.
 
Hawa watu dawa yao ni huu uvamizi uvunjike haya maneno maneno yaishe tuwawache na Raisi wao Mchaga
nimeamini kweli watz bara wanapenda ugomvi, maana sasa mumekomaa na zanzibar na huku akina mama wao wamekomaa na wakenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…