future lawyer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 419
- 423
- Thread starter
-
- #21
Naona huko nyuma pako pana historia chafuYakhee kwema huko nyuma utokako?
Umemjibu kiusahihi kabsaNi kweli wapemba ni wakarimu sana ukifika Pemba basi Jua shida zako zote za huko nyuma utatatuliwa
Baadhi sio wote
Sina la kusema zaidi ya acheni ubaguzi mbona huku kwetu hatuwabagui .tukianza kuwabagua mtajuta mbona
Nashangaa wanavoshupalia wazenjHapo sawa,,,lakini huku kwa ukatiri na ubaguzi wa makabila ndiyo ucseme.but co wote
Shukran kwa sasa nipo darkaribu finya
Acha ufala wwHabari ndugu zangu mumeambajee natumai nyote mpo salama
Haya mm ni kijana wa kipemba GOMBANI ila ninaishi dar es salaam . Ningependa kuwa tambua ndugu zangu wengine mliojiunga humu tufahamiane tu.
Nashangaa wanavoshupalia wazenj
Wanaishi kinafiki sanaHuku kila cku matukio ya ajabu, mara mama anauwa watoto wake wa kuwazaa, mara mtoto anamuuwa mzazi wake, mauwaji yatokanayo na wivu wa mapenzi ndiyo ucseme. Mimi huwa nawaangalia tu wakisema waarabu makatili
Nimekukosea pahala
Huu uzi wa kibaguziHabari ndugu zangu mumeambajee natumai nyote mpo salama
Haya mm ni kijana wa kipemba GOMBANI ila ninaishi dar es salaam . Ningependa kuwa tambua ndugu zangu wengine mliojiunga humu tufahamiane tu.
Nimebagua wapi ?Mkuu hatutaki ubaguzi wa makabila wala ukanda
Wap nimebagua na ule uzi wa wahaya vipHuu uzi wa kibaguzi
Huu uzi wa kibaguzi
Ni kweli wapemba ni wakarimu sana ukifika Pemba basi Jua shida zako zote za huko nyuma utatatuliwa
Mnaongoza kwa machoko huko kwa mujibu wa takwimu za hivi juziNi kweli wapemba ni wakarimu sana ukifika Pemba basi Jua shida zako zote za huko nyuma utatatuliwa
Michogo ndio michongo huku zenjiMnaongoza kwa machoko huko kwa mujibu wa takwimu za hivi juzi