Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonaje tukafanya Barter Trade!Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Poleni sanaTangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Kukopi na kupesti sisi ni wazanzibar tunamtaka mwinyi!Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Kosa kubwa ambalo serikali zote mbili zimekuwa zinadanya baada ya Nyerere kuondoka madarani ni kudhani kuwa Tanganyika na zanzibar ziliumbwa kwa ajili ya hao waporaji wa ardhi wanaoitwa wawekezaji toka dunia nzima kuchukua ardhi. Mungu alipotawanya watu katika nchi mbalimbali alitaka kila mtu akae kwake na watu washirikiane ndio maana aliweka rasilimali tofauti kwa aina na viwango kila nchi. Sasa unapochukua ardhi ya zanzibar au Tanganyika unawapa hao wawekezaji huku ukiwatukana wananchi eti kuwa watalipwa fidia, je hiyo fidia hao wananchi watakula hadi wanakufa,? Je watoto na wajukuu wao wataikuta hiyo fidia na kuitegemea kwa kuendeshea maisha yao? Watu wanaongezeka je watajenga wapi au kuzikwa wapi ikiwa kila ardhi ni kwa ajili ya wawekezaji.Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Hama.Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Bara isiyo na wenyewe, siyo?Njooni bara ardhi tele mje mlime
Si Mumsomee Albadir?Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Kuna muda nakukubali sana kwa kustick in reality badala ya muhemko wa kidiniAcha Mwinyi awanyooshe maana huwa hamkubali watu wa bara wanunue ardhi Zanzibar ila wazungu, waarab na wahindi mnawapa ardhi kama vile mnagawa njugu bila hata kuhoji
Hebu ondokeni huko mtafute kwa kwenda. Hicho kisiwa ni cha kimkakati msidhani ni kwa ajili ya ninyi kuendelea kuwepo huko.Tangazo jipya la kuwaondosha zaidi ya familia mia tano katika mtaa wa kikwajuni kwa kuwapa wawekezaji ni kitendo kisicho kubalika kabisa.
Tangu alipoapishwa kuwa raisi, Mwinyi amekuwa ni kitendawili kwa jamii yetu. Fukwe za bahari zote zimepewa wawekezaji kwa kujenga mahoteli ya kitalii. Mitaa na wanachi wameondoshwa makwao kupisha ujenzi wa Mwinyi na watu wake. Sisi tuna uwanja wa ndege kisauni sasa kuna taarifa ya kujenga kiwanja cha ndege chengine. Hiyo nafasi iko wapi?. Hizi ardhi zetu munasema ni za serikali mbona munawapa watu wasiokuwa na hisia ya ardhi zetu. Mwinyi kweli ametimiza ambayo wenzake walishindwa kutekeleza.
Tunawaomba CCM muje muchukuwa pandikizi lenu. Sisi tumechoka nae. Yeye anajuwa kuwa hapati kura kwa hiyo CCM itambeba kwa hali yoyote ile.
Inapendeza sanaMaendeleo yana gharama zake
Nilitoka huko Mwezi Uliopita, Kwa kweli fukwe nyingi zinajengwa na Wageni
Huku Bara pia fukwe nyingi zilitaka kuuzwa Kwa Wageni miaka fulani ikiwemo Coco beach, hadi JPM aliingilia kati ndiyo jamaa kuziachia