Dada acha dharau kuwa na kauli nzuri watanganyika wote waliopo znz wanauza vinyago??? Acheni mambo ya kibaguzi tatizo huwa hamjifunzi kutokana na makosa waliyofanya nchi za wenzetu. Kuweni na mtazamo sahih na si kutanguliza maneno ya kashfa na kibaguzi. muungano unahitajika sana kulinda maisha ya watanganyika na wazanzibar coz kuvunjika kwa muungano ni kuvunjika kwa Unnguja na Pemba coz baada ya kuvunjika kitakachofuata watu kuishi kwa sheria za nchi husika ndio hapo maisha yatakapokuwa magumu kwa wapemba waliojisahau kwa kujenga na kuwekeza kila kitu chao Tanganyika na hapo sasa ndo watakaporudi kuja kudai nchi yao coz Pemba ilisahaulika ndo wakakimbilia Tanganyika na mpaka sasa bado Pemba imetelekezwa sijui mtawaimbia nyimbo gani...