Wazanzibari walikuwa sawa. Muungano wa mkataba ndio unaofaa.


Basi ujanja ujanja tu ndio umetawala. Misri wanapiga kura ku kubali au kukataa katiba mpya ambayo imeandaliwa kwa muda mfupi. Kumbuka kura ya maoni kukukubali au kukataa serikali ya umoja wa kitaifa imeandaliwa kwa muda mfupi. Usanii mwingi ndio maana COW imeamua kuendelea na mchakato wa EA bila TZ.
 

Nn?.....dharau? Yaani kusema wanauza vinyago nimedharau? Una akili ww? Kwani hio si biashara? Eti ubaguzi...Mbona wenzio wanaifurahia tu kwa inavyowaingizia dola...nitokee na maujinga yako. Hivi dharau unaijua ww? Km unaijua kweli tungeona ukiwakemea ndugu zako wanqpofanyia mzaha upande wa pili...au wen it comes to Tanganyika ndo unamizwa..kua na msimamo, kemea kwa pande zote km kweli unapenda haki na amani..si ubaguzi ukifanyika upande mmoja sawa..! Na usisumbue kichwa chako kuwaza ya wapemba na waunguja mkuu...ya ngoswe waachie ngoswe wenyewe
 
mkataba ni muungano wenye maslahi kwa kila nchi na sio muungano wa kutiana hasara kama wa serikal 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…