Wazawa msisajiriwe Simba!

samatta,msuva, ulimwengu nk ni warundichief?
 
Hatta sijasema wawaweke wagen benchi ninesema wazawa pekee wanaaminiwa simba ni wale walioanza wakat inaanza kupata mafanikoo basi
So baada ya hapo amna aliyetoboa hata kucheza no ya mzawa mwenzake
Wanaocheza nikwasababu ya kiwango.hayo mengine ni hisia zako kwasababu wote tunawafahamu uwezo wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Unabisha them unajidanganya Boco/Zimbwe/Kapombe:Manura wote hao walianza na simba ile iliyoanza kupata mafanikio baada ya hapo mchezaji mzawa pekee aliyefanikiwa kupenua ni Kibu peke yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…