raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
fWanyonge wanakuja kujitetea
Sio sahihi kutuma watoto pombe,mie mwanangu siku nimeenda mwanza,tukawa tumetulia tu seblen,sasa aliponiona nimekaa kimya,akaniuliza,mama unawaza nini?nikamjibu wala siwazi lolote,Vipi wale watoto ambao nyumbani pombe zipo kwenye friji yaani akichukua maji tungi hizi hapa
Hawa watoto wa sahv wana nn kwan kila kitu wanaharibikiwa
Sisi wengine tumetumwa na tumezifungua kabisa ila kwa onyo kali kuwa tuwe mbali nazo mpaka muda utakapofika hatujaharibikiwa chochotef
Sio sahihi kutuma watoto pombe,mie mwanangu siku nimeenda mwanza,tukawa tumetulia tu seblen,sasa aliponiona nimekaa kimya,akaniuliza,mama unawaza nini?nikamjibu wala siwazi lolote,
Akasema au nikakuletee dawa ya bibi unywe uchangamke kidogo?nikamjibu dawa gani?akaenda kuleta bia moja toka kwenye friji,nikamwambia mie situmii hii.
Nikamwuliza kwani wewe huwa unatumia?akanijibu,hapana ni dawa ya bibi anamtumaga kaka Evans dukani akamnunulie🤣🤣🤣
So watoto wanaelewa kuhusu vilaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko huyo bibi yao aliwaambia hiyo dawa yake inatoa stress, uwiiiihf
Sio sahihi kutuma watoto pombe,mie mwanangu siku nimeenda mwanza,tukawa tumetulia tu seblen,sasa aliponiona nimekaa kimya,akaniuliza,mama unawaza nini?nikamjibu wala siwazi lolote,
Akasema au nikakuletee dawa ya bibi unywe uchangamke kidogo?nikamjibu dawa gani?akaenda kuleta bia moja toka kwenye friji,nikamwambia mie situmii hii.
Nikamwuliza kwani wewe huwa unatumia?akanijibu,hapana ni dawa ya bibi anamtumaga kaka Evans dukani akamnunulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So watoto wanaelewa kuhusu vilaji.
🤣🤣Itakuwa,mama mkwe wangu huwa anapiga ulabu sometimes,si wajua wahaya na lubisi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko huyo bibi yao aliwaambia hiyo dawa yake inatoa stress, uwiiiih
Naunga mkono hoja.Nimekuwa nikishuhudia watoto wadogo wenye umri kati ya miaka 7 mpaka 15 wakitumwa hizi pombe viroba vilivyochangamka zinauzwa kwenye vichupa kama vile smart gin, kitoko, ambiance na robort watoto wanatumwa dukani kuwapelekea wazazi wao.
Kwangu mimi naona huu ni ushenzi mtoto mdogo utamtuma vipi Pombe na sigara? Mnawaharibu watoto wenu wenyewe mtoto anatumwa pombe akifika mahari anatizama huku na huku anafungua kichupa anaonja, nyinyi wazazi mliokuwa mkiitwa wanyonge acheni tabia hii.
Mwizukulu mgikuru
Duuh hapo hatariiii mnoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Itakuwa,mama mkwe wangu huwa anapiga ulabu sometimes,si wajua wahaya na lubisi tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uswaz mtoto miaka 10 unamkuta usiku yuko kwenye singeli
Ova