Wazazi hawakuelewana Mahari, Binti anataka atoroke Nyumbani aje kwangu

Sio kweli Kuna time wazazi huwa wanawachalewesha mabinti Kwa tamaa zao za kiboya tu mwishoe wanaharibikiwa na Maisha so Binti anajua anataka Nini kwenye maisha na kafanya maamuzi
 
Sio kweli Kuna time wazazi huwa wanawachalewesha mabinti Kwa tamaa zao za kiboya tu mwishoe wanaharibikiwa na Maisha so Binti anajua anataka Nini kwenye maisha na kafanya maamuzi
safi sana mkuu!Ushauri mzuri lakini nini matokeo ya binti baada ya kutoroka?
 
Tafuta jukwaa la watoto umekosea njia
 
Pata baraka ya wazazi ni muhimu sana, ana hamu ya kupika na kupakua bila baraka za wazazi wake, huyo ni binadamu lolote laweza kutokea
 
Wazazi wake ndiyo wanamtoa kijanja hivyo wala siyo utashi wa binti,amepangwa tu baada ya kuona mmeenda kimoja.

2.2M mbona mahari standard kabisa hivyo usukumani.

NB:Kumpokea ni kutengeneza mahusiano mabovu na wakwe zako watarajiwa maana huwa kuna faini juu kwa kutorosha binti wa watu mbali na mahari.
 
"Kauli ya kwamba sikuachi mpaka kifo ni kama sifa..
 Inasemwa na wengi ila wachache wana maanisha..
wale wapambe na mashahidi wa kujivika au keki na mauwa ambayo mwisho hupukutika"


Dizasta vina: Ndoano
 
Inamaana mzeebaba hadi unaenda kuchumbia ulikuwa huna namba ya huyo mchumba! Au hana simu!
 
wazazi wa binti waliona mbali kama nauli tu unatuma 10k utaweza majukumu ya kutunza mke?
 
Shida ilianzia hapo kwenye elfu 10, ndio maana wakahitaji idadi ya ng'ombe wengi ili uachane na binti yao. Chakula ulichokula tu siku hiyo inazidi elf 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…