Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Nina shemeji yako mnyamwezi aseeh.... wako vzr kwenye mishepu wakuu wanyamwezi wako sawa afu mtoto ana maadili hasa katuliakijijini huku Tabora ndani ndani, karibu sana mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina shemeji yako mnyamwezi aseeh.... wako vzr kwenye mishepu wakuu wanyamwezi wako sawa afu mtoto ana maadili hasa katuliakijijini huku Tabora ndani ndani, karibu sana mkuu!
Sio kweli Kuna time wazazi huwa wanawachalewesha mabinti Kwa tamaa zao za kiboya tu mwishoe wanaharibikiwa na Maisha so Binti anajua anataka Nini kwenye maisha na kafanya maamuzi
- Kama hayupo tayari kuwatii wazazi wake ambao wamemlea tangu azaliwe; jiandae zamu yako ikifika
- Kama anatishia kujiua haujamuoa; uwezekano mkubwa mkipata changamoto atajiua akiamini ndio suluhisho pekee
Maoni yangu: hakuna mwanamke hapo, endelea kutafuta.
safi sana mkuu!Ushauri mzuri lakini nini matokeo ya binti baada ya kutoroka?Sio kweli Kuna time wazazi huwa wanawachalewesha mabinti Kwa tamaa zao za kiboya tu mwishoe wanaharibikiwa na Maisha so Binti anajua anataka Nini kwenye maisha na kafanya maamuzi
Wata negotiate na wazazi mbona huwa inatokea tu sema kama wazazi wanamwona Binti Yao kama bidhaa. Basi hawatakuja wakae sawasafi sana mkuu!Ushauri mzuri lakini nini matokeo ya binti baada ya kutoroka?
Nimeoa huko, binti akiwa na msimamo hakuna kitu watafanya.unawajua wazazi wa kisukuma mkuu?
Tafuta jukwaa la watoto umekosea njiaWakuu
Mimi ni kijana wa umri wa kuoa (miaka kati ya 23-30),mwezi wa nane mwaka jana nilienda kuchumbua katika kijiji jirani,
Nilienda na mwenyeji wangu,NA zoezi la kuchumbia lilikamilika na kishika uchumba tuliacha Tsh.10,000(kwa wale wasukuma watakubaliana na mimi kuhusu mchakato wa kuchumbia),
Badae wazazi wangu na wa mchumba wangu wakakutana kupanga mahari,lakini kiukweli hawakuelewana,wazazi wa binti walisema ng'ombe 12 lakini wazazi wangu walisema ni milioni mbili na laki mbili tu,hivyo hawakuelewana na wakapotezeana.
Lakini binti akazisaka namba zangu mpaka akazipata, tukawa tunawasiliana,anasema ananipenda na anataka tuoane tu licha ya wazazi kutoelewana,anataka kutoroka nyumbani kwao aje kwetu kuolewa,licha ya kumchenga chenga kuwa asubili lakini imefikia hatua binti analia anasema anakuja.
Na nikikataa atajinyonga
Mwishowe nikashawishika, akaniambia nimtumie hela ya kuja kwetu,ndo juzi nimemtumia elfu kumi atoroke aje kwetu
Wajuvi wa mambo mnanishauri/mnanisaidia vipi katika hili?
Karibuni.
Pata baraka ya wazazi ni muhimu sana, ana hamu ya kupika na kupakua bila baraka za wazazi wake, huyo ni binadamu lolote laweza kutokeaWakuu
Mimi ni kijana wa umri wa kuoa (miaka kati ya 23-30),mwezi wa nane mwaka jana nilienda kuchumbua katika kijiji jirani,
Nilienda na mwenyeji wangu,NA zoezi la kuchumbia lilikamilika na kishika uchumba tuliacha Tsh.10,000(kwa wale wasukuma watakubaliana na mimi kuhusu mchakato wa kuchumbia),
Badae wazazi wangu na wa mchumba wangu wakakutana kupanga mahari,lakini kiukweli hawakuelewana,wazazi wa binti walisema ng'ombe 12 lakini wazazi wangu walisema ni milioni mbili na laki mbili tu,hivyo hawakuelewana na wakapotezeana.
Lakini binti akazisaka namba zangu mpaka akazipata, tukawa tunawasiliana,anasema ananipenda na anataka tuoane tu licha ya wazazi kutoelewana,anataka kutoroka nyumbani kwao aje kwetu kuolewa,licha ya kumchenga chenga kuwa asubili lakini imefikia hatua binti analia anasema anakuja.
Na nikikataa atajinyonga
Mwishowe nikashawishika, akaniambia nimtumie hela ya kuja kwetu,ndo juzi nimemtumia elfu kumi atoroke aje kwetu
Wajuvi wa mambo mnanishauri/mnanisaidia vipi katika hili?
Karibuni.
Time will tellBujibuji Simba Nyamaume, kwa nini nisimruhusu? Fafanua mkuu