" Wazazi hiyo pesa ya karo bora umnunulie mwanao mashamba" ... Joseph Mrindoko wa Wachokonozi

" Wazazi hiyo pesa ya karo bora umnunulie mwanao mashamba" ... Joseph Mrindoko wa Wachokonozi

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kwenye video jamaa kafunguka vitu vingi Sana muhimu. Mwenye kusikia na asikie na mwenye kujifanya kipofu aendelee kujifanya kipofu hivyo.


Video Yake inapatikana You Tube.

Kwenye video jamaa katema madini mengi Sana. Baadhi ya madini aliyo Tema ni pamoja na : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

1. Masikini hutengeneza masikini mwenzake. Masikini hawezi kutengeneza tajiri hata siku moja Kwa sababu hana uwezo huo wa kiakili wa kumtengeneza tajiri. Wazazi wengi wanao somesha hizi English Mediums za milioni moja hadi 2 ni masikini... Wanacho kifanya ni kuwatengeneza masikini wenzao wa hapo baadae huku wakimtajirisha mmiliki wa shule in the process.

How? Hiyo hela wanayo lipia kwenye shule hizo hailingani na anacho pewa mtoto shuleni ( No value for money)

Mtoto anakaririshwa ili afaulu mitihani ya NECTA halafu aishie kutembea na bahasha kutafuta Kazi ambazo hazipo.


Hiyo hela mzazi angeweza kuiwekeza kwenye real assets mfano mashamba na kilimo huku akimsimamia mtoto wake kwenye shule za government Kwa ukaribu Hadi afike Chuo kikuu, by the time mtoto anamaliza Chuo anamkuta mzazi ana investments na assets za kutosha. So mtoto anakuwa na pa kuanzia. Tofauti na wazazi wengi masikini ambao huingia kwenye umasikini mkubwa Kwa kuuza Hadi assets zao ili eti mtoto asome kwenye shule ya private.


2. Watu WA kawaida Kwa sababu hawana uwezo unaoweza kujitambulisha wenyewe lakini wanataka kutambuliwa na watu, hutengeneza tukio litakalo wafanya watambuliwe na watu


So huwapeleka watoto Wao shule za EMs ili Jamii iwatambue kwamba wana majukumu. Wanasomesha watoto Wao shule za EMs. In the due process wanajitia umasikini huku wakiwaandaa watoto Wao kuja kuwa masikini.


Imagine mtu anaishi kwenye nyumba ya kupanga hana hata kiwanja halafu eti ana jistress kusomesha Ems.



Haya Sasa twende Kazi. Kimbia haraka Sana kamtoe mwanao Ems umrudishe Kayumba.

You will thank me later
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™


Making Kayumba Schools Great Again Campaign

MAKAGA Campaign.


#God bless all Kayumba Schools.

#God bless the Kayumba children of this country.
 

Attachments

  • Screenshot_20250121-090711.png
    Screenshot_20250121-090711.png
    632.8 KB · Views: 5
Sasa Mrindoko huyu ananichanganya ni mjukuu au mtoto wa Mrindoko??? Dada zake au shangazi zake ambao!!!!.... Ninyamaze kwa muda naona kama pesa yangu ipo naidai
Mange nae aongoze pesa ili tukimpa data bongo isimame kwa masaaa 24
 
Sasa Mrindoko huyu ananichanganya ni mjukuu au mtoto wa Mrindoko??? Dada zake au shangazi zake ambao!!!!.... Ninyamaze kwa muda naona kama pesa yangu ipo naidai
Mange nae aongoze pesa ili tukimpa data bongo isimame kwa masaaa 24
Mrindoko ni jina la ukoo
 
" Mommy I hate you. I told you I wanna be a pilot " Maneno ya mtoto Ethan akimwambia mama Yake Joannah

Basi hapo Joannah anafurahi anaenda kuweka majina matatu kwenye vikoba ili akalipe ada Kwa wakati 🀣🀣🀣
Jana tu katoka kuniambia mama why bibi anataka niwe pharmacist mimi sitaki nataka kuwa CDF,nikamwambia soma mwanangu si unaona Ada tumetoa,na kabla sijadeposit namuonyesha anasema haaaa mama its a lot of money!nasema yes it's for you king!soma....Hapo ni mwendo wa vikoba na michezo tuπŸ˜…
 
Kama kweli vile, Primary schoolπŸŽ’πŸ“š let say Ada ni 1.5m hadi ana maliza la7 katumia 10.5M, O level private let say Ada ni 2m hadi anamaliza form iv jumla ni 8m, advance let say Ada ni 2m jumla 4m,
Grand total ni karibia 23m
Ila kama tunakuza vitu vile, sasa ada kwa mwaka 2m hio ni kama 167,000/- kwa mwezi. Hivi kweli kwenye kipato chako ukitenga 167,000 kila mwezi kwa ajili ya elimu ya mwanao itakutia umaskini? Umaskini wako utakuwa na sababu nyingine ila sio ada ya 2m kwa mwaka. EMS nyingi kama mnavyosema ada ni 1-2m sio hela ya kukusababishia umaskini,umaskini wako utakuwa na sababu nyingine.
 
Ila kama tunakuza vitu vile, sasa ada kwa mwaka 2m hio ni kama 167,000/- kwa mwezi. Hivi kweli kwenye kipato chako ukitenga 167,000 kila mwezi kwa ajili ya elimu ya mwanao itakutia umaskini? Umaskini wako utakuwa na sababu nyingine ila sio ada ya 2m kwa mwaka. EMS nyingi kama mnavyosema ada ni 1-2m sio hela ya kukusababishia umaskini,umaskini wako utakuwa na sababu nyingine.
Mtoto moja wastani ni 2M ukiwa na 3*2=6M
 
Not only myopic thinking but also impractical...

Kuna eneo kiasi gani la nchi na kuna watoto wangapi na tukisema kila mzazi anunulie watoto hio bei itapanda kiasi gani na kila mmoja anapata futi ngapi ngapi ?

Na mpaka dakika hii kuna uhaba wa uzalishaji bidhaa kutoka shambani au hata hao wanaolima wanakosa masoko na wanapigika ? Kwa logic ya huyu mdau bora kila mzazi amfundishe mtoto wake kuwa dalali / mlanguzi sasa sijui nani atakayezalisha wote tukiwa wauzaji
 
Mtoto moja wastani ni 2M ukiwa na 3*2=6M
Sio lazima uwe na watatu, sio lazima ulipe 2m zipo pungufu ya hapo.
Haya turudi kwenye 6m kwa mwaka ni kama 500k tu hio sio hela ya kukutia umaskini utakuwa na sababu nyingine au una vipaumbele vingine.
 
Kwenye video jamaa kafunguka vitu vingi Sana muhimu. Mwenye kusikia na asikie na mwenye kujifanya kipofu aendelee kujifanya kipofu hivyo.


Video Yake inapatikana You Tube.

Kwenye video jamaa katema madini mengi Sana. Baadhi ya madini aliyo Tema ni pamoja na : πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

1. Masikini hutengeneza masikini mwenzake. Masikini hawezi kutengeneza tajiri hata siku moja Kwa sababu hana uwezo huo wa kiakili wa kumtengeneza tajiri. Wazazi wengi wanao somesha hizi English Mediums za milioni moja hadi 2 ni masikini... Wanacho kifanya ni kuwatengeneza masikini wenzao wa hapo baadae huku wakimtajirisha mmiliki wa shule in the process.

How? Hiyo hela wanayo lipia kwenye shule hizo hailingani na anacho pewa mtoto shuleni ( No value for money)

Mtoto anakaririshwa ili afaulu mitihani ya NECTA halafu aishie kutembea na bahasha kutafuta Kazi ambazo hazipo.


Hiyo hela mzazi angeweza kuiwekeza kwenye real assets mfano mashamba na kilimo huku akimsimamia mtoto wake kwenye shule za government Kwa ukaribu Hadi afike Chuo kikuu, by the time mtoto anamaliza Chuo anamkuta mzazi ana investments na assets za kutosha. So mtoto anakuwa na pa kuanzia. Tofauti na wazazi wengi masikini ambao huingia kwenye umasikini mkubwa Kwa kuuza Hadi assets zao ili eti mtoto asome kwenye shule ya private.


2. Watu WA kawaida Kwa sababu hawana uwezo unaoweza kujitambulisha wenyewe lakini wanataka kutambuliwa na watu, hutengeneza tukio litakalo wafanya watambuliwe na watu


So huwapeleka watoto Wao shule za EMs ili Jamii iwatambue kwamba wana majukumu. Wanasomesha watoto Wao shule za EMs. In the due process wanajitia umasikini huku wakiwaandaa watoto Wao kuja kuwa masikini.


Imagine mtu anaishi kwenye nyumba ya kupanga hana hata kiwanja halafu eti ana jistress kusomesha Ems.



Haya Sasa twende Kazi. Kimbia haraka Sana kamtoe mwanao Ems umrudishe Kayumba.

You will thank me later
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™


Making Kayumba Schools Great Again Campaign

MAKAGA Campaign.


#God bless all Kayumba Schools.

#God bless the Kayumba children of this country.
Mkuu hii research yako haina uhalisia mpe mtoto msingi mzuri!! Kayumba ni sawa kama uwezo wako ndo umeishia hpo..... dunia ya sasa hivi ata ilo shamba kama elimu ya ujanja ujanja hutoboi!! Izo hesabu unapiga kwa calculator sio za maisha kama uwezo upo somesha mtoto pia wekeza kwa faida yko wewe na kizzi chako.
 
Mkuu hii research yako haina uhalisia mpe mtoto msingi mzuri!! Kayumba ni sawa kama uwezo wako ndo umeishia hpo..... dunia ya sasa hivi ata ilo shamba kama elimu ya ujanja ujanja hutoboi!! Izo hesabu unapiga kwa calculator sio za maisha kama uwezo upo somesha mtoto pia wekeza kwa faida yko wewe na kizzi chako.
,
 
Hilo shamba atalilimaje hajui hata kusoma aina ya mbegu za kupanda?

Hajui hata kufanya makadirio ya gharama?
 
Back
Top Bottom