Wazazi kuweni makini na watu wanaowatania watoto wa kike kwa kuwaita wachumba

[emoji23] [emoji23] [emoji23] nakubali sana , kipigo cha OVER2.5 itapendeza zaid [emoji23] [emoji23]

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Malaya wapo hadi wa 5000 Afu mtu anaharibu watoto!
 
Na ukizubaa anamaliza kazi kabisa
 
Safi Sana Mkuu, wabakaji huanzia na utani Kisha wanabaka.... Vitoto vidogo haina hata maskini vina jenga trust alafu badae wanatendewa unyama.. Na iwe fundisho kwa wengine
 
Alishika chuchu tu au hadi na kule chini?
 
Tukisema tumvunje vidole,atatomasa Kwa ulimi,Watu dizain Hii ni kupiga shot ya pumb* nyege za kijinga ziwatoke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…