Wazazi kuweni makini wakati mnachagua English Medium Schools za kusoma watoto wenu

Kuna wale waliosambaza mabango ya matangazo yao kila mtaa kuwa wanaendesha masomo ya QT, tuition na english course kwa wanafunzi wa vidato mbalimbali ikiwa ni pamoja na "reseaters". Sasa unajiuliza hawa wanatoa english course lakini hawajui tofauti kati ya resitters na reseaters!
 
Njanuary inamambo? Kalipe ADA mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…