Wazazi mmekuwaje?

Wazazi wanataka kutua mizigo na wengine wawapokee.
Kwa akili na vichwa vya watoto wa kike wa siku hizi ni mizigo ambayo wewe kama mzazi ukizubaa yanaweza kukuzeekea hapo nyumbani kutwa kujisnap Chat.
Mademu wa Gen Z wavivu uzungu mavi mwingi skills za kijasiriamali zero mtaji wanaotegemea ni UCHI WAO ULIOCHOKA NA MANYANYASO YA D MBALIMBALI.
VIJANA wamekuwa waogq kuwaoa mademu wa Gen Z kwa kuogopa kupata tatizo la Afya ya akili coz combination ya Ugumu wa maisha plus kulea binti la mtu lisilojielewa unajikuta umepoteza appetite ya kuishi na matokeo yake vijana wanaunda Group linaitwa Kataa ndoa na ukiwasikiliza wana hoja nzito huku wakiinjoi usingle wao huku wakiwacheka wanaoteseka kwenye ndoa.
 
Chaliangu min -me nokarishia ingisaliti kuchu monoama? Aikambe, ngiwaleka inu. Luchenyose mbeke na ishinja mburu.

Ngindeleha ko mai oko Mamndenyi na mshiki oko Makiwendo kokifa shindio ungirundia shineshapo kapsa.😔
Aleka nae meku, mimi ni kataa ndoa😂😂 mangi , a chakarikia msichana choo a leka shindo sha mbare meku.
 
Jaribu dingi. Mimi nashindana na bro wangu min -me wengine akina ambilikile mwamposa mko nje
Oya chalii ntakugeuza kichuguu dakika 0. Mi msiniingize kwenye mbanga zenu kitatimuka sio muda nikiamua kuingiza battle hata huyo mtoto mzuri mtamkosa🤣🤣

Halafu umemsahau yule mwingine daka wa macha tawala
 
Kwahio hujaolewa mdogo etu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…