Realboynicky
Senior Member
- Mar 31, 2023
- 156
- 296
Wazazi achaneni na mawazo ya kuwasomesha watoto ili kwamba wakishakua na kuanza kazi waanze kuwagharamia kwa mishahara yao! Kulea watoto ni jukumu la mzazi yeyote alieamua kuanzisha familia na si uwekezaji.
Achaneni na hii dhana.😩
Achaneni na hii dhana.😩