Wazazi msilee watoto kwa mantiki ya kujiwekezea baadae

Wazazi msilee watoto kwa mantiki ya kujiwekezea baadae

Realboynicky

Senior Member
Joined
Mar 31, 2023
Posts
156
Reaction score
296
Wazazi achaneni na mawazo ya kuwasomesha watoto ili kwamba wakishakua na kuanza kazi waanze kuwagharamia kwa mishahara yao! Kulea watoto ni jukumu la mzazi yeyote alieamua kuanzisha familia na si uwekezaji.

Achaneni na hii dhana.😩
 
Back
Top Bottom