Wazazi na ndugu wa mke wangu wananikosesha raha

Kubalababaake... Yani mama mkwe kaingia on target"""" sema chamsingi ni kukaa na mkeo kumwambia hali kwasasa ni ngum sasa cha kufanya aongee na nduguze warudi kwao kama awataki piga taraka wote 9
 
Kumbe hata watoto hamna. Yani watu 8 wote unahudumia ww. Na nyumba ni ya kupanga? Sepa Baba. Sepa. Issue ni kazini mkeo anapajua.. Kama unaweza kuhama kikazi fanya ivyooo.
Aseme ana umwa aende kwao
 
Kubalababaake... Yani mama mkwe kaingia on target"""" sema chamsingi ni kukaa na mkeo kumwambia hali kwasasa ni ngum sasa cha kufanya aongee na nduguze warudi kwao kama awataki piga taraka wote 9
Acha mkuu. Saivi hawapo walienda kwao kwenye sikukuu za mwisho wa mwaka sijatuma nauli ya kurudi mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…